Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
|
 |
 |
|
 |
Na Adoph Balingilaki Kivumbi cha michuano ya Kombe la Chalenji kilichoanza kutimika Desemba 31 katika viwanja viwili vya nchini Uganda, kilinatarajia kuendelea kesho kwa timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) kukwaana na wachovu wa Somalia... |
|
 |
 |
|
 |
Adolph Balingilaki na Richard Bukos Timu ya Simba ya jijini Dar es salaam imeanza vema michuano ya kombe la Tusker baada ya jana kufanikiwa kuichapa Prisons ya Mbeya mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa wa zamani jijini Dar es salaam... |
|
 |
 |
|
 |
Na Adolph Balingilaki KOCHA Mkuu wa Yanga, Dusan Kondic amesema ushindi wa bao 1-0 dhidi ya URA umemchanganya na sasa anataka kushusha kikosi kamili kwenye mechi ya pili ya michuano ya Kombe la Tusker dhidi ya Mtibwa kesho Jumamosi. Yanga katika mchezo huo wa kesho inahitaji ushindi au sare yoyote ili iweze kutinga nusu Fainali ya michuano hiyo, kwakuwa tayari ina pointi tatu na Mtibwa haina pointi hata moja... |
|
 |
 |
|
 |
Na George Kayala Kitendawili cha wagombe nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka nchini, TFF, waliokatiwa rufaa kupingwa kuwania nafasi hizo kutokana na kukosa sisa kama katiba ya TFF inavyoeleza, kitateguliwa leo baada ya kukamilika kwa maelezo ya wahusika waliopinga kuondolewa katika sakata hilo... |
|
 |
 |
|
 |
Na Shufaa Lyimo KOCHA mpya wa Simba, Talib Hilal amesema wachezaji wote waliosajiliwa klabuni hapo ni wazuri, isipokuwa wanamatatizo ya kukosa ushauri wa kisaikolojia utakaowawezesha kucheza katika kiwango kinachotakiwa... |
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|