arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » champion ijumaa

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Twanga kuwasha moto TMK ...
» TUPIGE PICHA MOJA YA UK ...
» Usafi kwa mwanamke ni k ...
» Victoria Caroline adams ...
» MAMBO YA VUNJA JUNGU HA ...
» Sitosahau mama mkwe ali ...
» My ghosts(mizimu yangu ...

 

Kondic alishwa kaa la moto Yanga

champion ijumaa  
Kondic alishwa kaa la moto Yanga
Khadija Mungwai na Shufaa Lyimo

Kocha Mkuu wa timu ya Yanga, Dusan Kondic, ameonekana kulishwa ‘kaa la moto’, na viongozi wa Yanga kutokana na kushindwa kuwasilisha majina ya wachezaji wawili wapya kutoka nchini Kenya, George Njoroge na Joseph Shikokoti kwa Shirikisho la soka nchini TFF kwa wakati...
    (2 January 2009)
Views: 133 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

2009 ni mwaka wa kuboresha michezo mingine

champion ijumaa  
Kwa muda mrefu sasa, Tanzania imekuwa ikiupa kupaumbele zaidi mchezo wa soka ambayo hata hivyo hatujaweza kufikia kiwango cha Kimataifa kinachorizisha, na kuitelekeza mingine...
    (2 January 2009)
Views: 15 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Stars kutembeza kichapo Somalia

champion ijumaa  
Na Adoph Balingilaki

Kivumbi cha michuano ya Kombe la Chalenji kilichoanza kutimika Desemba 31 katika viwanja viwili vya nchini Uganda, kilinatarajia kuendelea kesho kwa timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) kukwaana na wachovu wa Somalia...
    (2 January 2009)
Views: 58 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Kondic: Yanga sasa mwake

champion ijumaa  
Kondic: Yanga sasa mwake
Chausiku Omary na Eunice Macha

Kocha Mkuu wa timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Mserbia Dusan Kondic amesema kwamba licha ya kutolewa mapema kwenye michuano ya Kombe la Tusker, lakini mambo yake ni safi kutokana na ukweli kwamba kikosi chake ndio bora kwa sasa nchini Tanzania...
    (26 December 2008)
Views: 154 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Talib: Kama vipi Simba mrudisheni Bezinski

champion ijumaa  
Eunice Macha na Chausiku Omar
KOCHA wa muda wa Klabu ya Simba, Talib Hilal amesema kwamba Mbulgaria Krasimir Bezinski ni mmoja ya makocha wazuri zaidi kati ya waliowahi kuinoa timu hiyo ya Msimbazi....
    (26 December 2008)
Views: 149 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mtibwa libakisheni kombe home

champion ijumaa  
Na Khadija Mngwai
Timu ya Mtibwa Sugar imetakiwa kufanya maandalizi makubwa ili kuibuka na uhsindi katika mchezo wa fainali ya kombe la Tusker dhidi ya URA ya Uganda kesho Jumamosi....
    (26 December 2008)
Views: 39 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Matajiri wa Sudan waiua Stars

champion ijumaa  
Matajiri wa Sudan waiua Stars
Na Ahadi Kakore

HATUA ya Taifa Stars kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza Ligi ya ndani (CHAN), imekuwa ni sawa na kujipalia makaa, kwani matajiri wakubwa ndani ya Sudan, wameazimia kuwatwaa wachezaji wake nane muhimu ili wakachezee timu za huko...
    (19 December 2008)
Views: 383 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Simba raha tupu Tusker

champion ijumaa  
Adolph Balingilaki na Richard Bukos

Timu ya Simba ya jijini Dar es salaam imeanza vema michuano ya kombe la Tusker baada ya jana kufanikiwa kuichapa Prisons ya Mbeya mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa wa zamani jijini Dar es salaam...
    (19 December 2008)
Views: 114 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Kondic: Nashusha kikosi

champion ijumaa  
Na Adolph Balingilaki

KOCHA Mkuu wa Yanga, Dusan Kondic amesema ushindi wa bao 1-0 dhidi ya URA umemchanganya na sasa anataka kushusha kikosi kamili kwenye mechi ya pili ya michuano ya Kombe la Tusker dhidi ya Mtibwa kesho Jumamosi.
Yanga katika mchezo huo wa kesho inahitaji ushindi au sare yoyote ili iweze kutinga nusu Fainali ya michuano hiyo, kwakuwa tayari ina pointi tatu na Mtibwa haina pointi hata moja...
    (19 December 2008)
Views: 109 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Yanga yakamata idara zote nyeti

champion ijumaa  
Yanga yakamata idara zote nyeti
George Kayala na Fauzia Mngodo

JUHUDI za Klabu ya Simba kutaka kuliteka Shirikisho la Soka nchini, TFF, kwa kushika idara nyeti ndani ya chombo hicho, zemegonga mwamba baada ya kujikuta wagombea wake waliokuwa wanawategemea kutupwa nje na kuwapa nafasi mahasimu wao Yanga kukamata sehemu zote muhimu za uongozi wa juu....

    (12 December 2008)
Views: 185 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Stars: Ni dakika 90 za mauti Sudan

champion ijumaa  
Wachezaji wasema: Nia, sababu, na uwezo tunao wa kuifunga Sudan tunao, Bendera, Magori wapewa jukumu zito, timu yawekwa mafichoni kukwepa hujumaDakika 90 za mchezo kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) dhidi ya Sudan maarufu kama ‘Mwewe wa Jangwani’, zimeelezwa kuwa ni muda wa mauti kwa pande zote mbili hii ni kutokana na umuhimu wake....
    (12 December 2008)
Views: 120 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Stars imalizeni Sudan tufanye uchaguzi TFF

champion ijumaa  
TIMU yetu ya Taifa kesho itakuwa nchini Sudan kumenyana na timu ya taifa hilo katika mchezo wa kuamua nani ataelekea nchini Ivory Coast katika michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (CHAN)...
    (12 December 2008)
Views: 56 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Yanga uso kwa uso na URA

champion ijumaa  
Yanga uso kwa uso na URA

Bingwa mtetezi wa kombe la Tusker, Yanga ya jijini Dar es Salaam imepangwa kundi moja na timu ngumu ya Mamlaka ya Mapato ya Uganda, URA, katika kinyang’anyiro cha michuano ya kuwania kombe hilo inayotarajia kuanza kutimua vumbi Desemba 15 mwaka huu katika uwanja wa zamani wa Taifa...
    (5 December 2008)
Views: 109 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Malinzi,Wambura na TFF ngoma inogile

champion ijumaa  
Na George Kayala

Kitendawili cha wagombe nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka nchini, TFF, waliokatiwa rufaa kupingwa kuwania nafasi hizo kutokana na kukosa sisa kama katiba ya TFF inavyoeleza, kitateguliwa leo baada ya kukamilika kwa maelezo ya wahusika waliopinga kuondolewa katika sakata hilo...
    (5 December 2008)
Views: 43 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Talib: Simba kuna matatizo makubwa

champion ijumaa  
Na Shufaa Lyimo

KOCHA mpya wa Simba, Talib Hilal amesema wachezaji wote waliosajiliwa klabuni hapo ni wazuri, isipokuwa wanamatatizo ya kukosa ushauri wa kisaikolojia utakaowawezesha kucheza katika kiwango kinachotakiwa...
    (5 December 2008)
Views: 102 | Maoni (2) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 14 15 16  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com