arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » champion ijumaa

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» Kondic anasa kifaa Indi ...
» Banza ukirudia unakufa
» Gonjwa la ajabu
» RICHARD NA MKEWE!
» Silent forever (Kimya M ...
» Kweli unampenda lakini. ...
» PAMOJA TUNAWAKILISHA!

 

Simba yaifunika Al-Ahly Zimbabwe

champion ijumaa  
Simba yaifunika Al-Ahly Zimbabwe

Na Mwandishi Wetu
WAKATI Simba ikijinasibu kuibuka na ushindi katika mchezo wake wa leo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Lengthens ya Zimbabwe utakaochezwa kwenye Uwanja wa Rufaro, mjini Harare, mechi hiyo imekuwa gumzo nchini na inasubiriwa kwa hamu kubwa kuliko ile ya Klabu Bingwa Afrika kati ya Gunners na Al Ahly ya Misri...
    (19 March 2010)
Views: 131 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Tegete apaa Sweden na matumaini

champion ijumaa  
Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI nyota wa Yanga, Jerry Tegete ameondoka jana kwenda nchini Sweden kufanya majaribio katika klabu ya Assrsnka inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini humo...
    (19 March 2010)
Views: 68 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Ambani kutia chumvi ubingwa wa Simba

champion ijumaa  
Na Leah Kweka
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Boniphace Ambani amesema atahakikisha anazima shamrashamra za ubingwa wa Simba kwa katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Vodacom unaotarajiwa kuchezwa Aprili 11 mwaka huu kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam...
    (19 March 2010)
Views: 49 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mgosi wasiwasi, Ngassa kicheko

champion ijumaa  
Samirah Phillip na Leah Kweka
WAKATI mshambuliaji wa Simba, Mussa Hassan Mgosi akikiri kuwa na ugumu wa kuibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom, mpinzani wake katika kinyang’anyiro hicho Mrisho Ngassa wa Yanga amesema kwake ni rahisi kutwaa nafasi hiyo...
    (19 March 2010)
Views: 86 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Kipa Twiga arejea, joto lawaadhibu Ethiopia Dar

champion ijumaa  
Na Wilbert Molandi
WAKATI kipa namba moja wa timu ya Taifa ya wanawake, Twiga, Stars Fatma Omary ‘Baba’ ambaye alikuwa anasumbuliwa na malaria amereja katika kikosi hicho, wapinzani wao Ethiopia wamejitamba kushinda mchezo wa kesho wa Kombe la Mataifa ya Afrika licha ya kutishwa na hali ya hewa ya joto ya Dar es Salaam...
    (19 March 2010)
Views: 11 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Lengthens wapewa msaada kuiua Simba

champion ijumaa  
Na Phillip Nkini
IKIWA leo ndiyo timu ya Simba inajitupa katika Uwanja wa Rufaro kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Lengthens, timu hiyo ya Zimbabwe imepewa udhamini kwa sharti la kuhakikisha inaibuka na ushindi...
    (19 March 2010)
Views: 51 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Yanga, Simba mchezo mchafu

champion ijumaa  
Yanga, Simba mchezo mchafu
Na Saleh Ally
UCHAFUZI wa hali ya hewa umeibuka chini chini wakati Ligi Kuu ya Vodacom ikiwa inaenda ukingoni na Simba wakionekana kuwa nafasi ya kuutwaa ubingwa huo, lakini watani wao Yanga hawajakata tamaa...
    (12 March 2010)
Views: 300 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Wazimbabwe waivuruga Simba

champion ijumaa  
Na Saleh Ally
UONGOZI wa Lengthens ya Zimbabwe umewachanganya Simba baada ya kuwambia mechi yao jijini Harare itachezwa Ijumaa na si Jumamosi kama ilivyokuwa awali...
    (12 March 2010)
Views: 92 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Papic apiga dakika 180 kuiua Simba

champion ijumaa  
Na Wilbert Molandi
KATIKA kuonyesha Kocha Mkuu wa Yanga, Mserbia Kosta Papic amedhamiria kumdondosha mnyama katika mechi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara, baada ya juzi kutumia dakika 180 kwenye jua kali akiwanoa wachezaji wake.
Watani hao wa jadi wanatarajiwa kuvaana Aprili 11 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam...
    (12 March 2010)
Views: 118 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Kaseja hatihati kuivaa Yanga

champion ijumaa  
Na Wilbert Molandi
WAKATI pambano la watani wa jadi wa Simba na Yanga likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini, kadi mbili alizonazo kipa namba moja wa Simba, Juma Kaseja zimezua hofu kuwa huenda akalikosa pambano hilo la watani...
    (12 March 2010)
Views: 183 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Kocha wa Algeria aiomba Stars

champion ijumaa  
Na Mwandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Burundi, Adel Amourache raia wa Algeria ni kati ya makocha waliojitokeza kupeleka maombi yao kuwania kuifundisha timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars...
    (12 March 2010)
Views: 66 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Ngassa, Chuji, Obren kuondoka Yanga Aprili

champion ijumaa  
Na Jozaka Bukuu
IWAPO uongozi wa Yanga utakubaliana na ule wa mabingwa wa Afrika, TP Mazembe ya DR Congo, basi kipa Obren Cuckovic na kiungo Athuman Idd wataondoka zao kujiunga na timu hiyo...
    (12 March 2010)
Views: 103 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Lyon kutia utambi kwa Majimaji

champion ijumaa  
Na Jozaka Bukuku
MLINDA mlango namba moja wa African Lyon, Ivo Mapunda amesema kuwa kutokana kikosi chao kujipanga vizuri wanatarajia kushinda mechi ya leo dhidi ya Majimaji, hali inayoweza kuongeza mtafaruku unaofukuta kwenye klabu hiyo ya Songea...
    (12 March 2010)
Views: 34 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Papic akabidhiwa kwa Manji

champion ijumaa  
Papic akabidhiwa kwa Manji
Na Kikosi cha Championi
SUALA la hatma ya Kocha Mkuu wa Yanga ndani ya klabu hiyo inaendelea kuwa na utata huku kila upande ukioneakana kulitupia zigo kwa wengine na uongozi umelikabidhi suala hilo kwa aliyekuwa Mfadhili Mkuu, Yusuf Manji...
    (5 March 2010)
Views: 151 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Machuppa sasa noma Sweden

champion ijumaa  
Na Samirah Phillip
MSHAMBULIAJI wa klabu ya daraja la pili nchini Sweden ya Vasaland IF, Athumani Machuppa ameonyesha kurejea katika kiwango chake baada ya ...
    (5 March 2010)
Views: 191 | Maoni (2) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 30 31 32  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com