arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Habari mbalimbali

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» HATIMAYE BONGOMAN ATUA ...
» Mzee Yusuf mbaroni
» KAFARA
» WAGANGA WA JADI WAMJIA ...
» Nilikutana na mke wangu ...
» MBILI ABEL APAGAWISHA D ...
» Khadija Yusuf aitamani ...

 

KUJIANDIKISHA, KUPIGA KURA NI FURSA ADIMU: UKIFANYA KOSA UTAIJUTIA

Habari mbalimbali  
KUJIANDIKISHA, KUPIGA KURA NI FURSA ADIMU: UKIFANYA KOSA UTAIJUTIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (kulia), pamoja na Mama Salma Kikwete(katikati), wakijiandikisha kama wapiga kura katika kijiji cha Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, Machi 3, 2010.

Na Walusanga Ndaki

UBORESHAJI wa Daftari la Wapiga Kura nchini kwa jiji la Dar es Salaam unaanza tarehe 22 Machi, mwaka huu Jumatatu kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...
    (21 March 2010)
Views: 28 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Trafiki Dar wachangiana sh 10,000,000 kwa siku

Habari mbalimbali  
 Trafiki Dar wachangiana sh 10,000,000 kwa siku
• Ni matokeo ya 'mabao' ya sh 3000 wanayopiga daladala, teksi
RUSHWA ndogondogo za barabarani zimewanufaisha baadhi ya askari wa Usalama Barabarani, jijini Dar es Salaam (trafiki) ambao wanakusanya zaidi ya sh 10,000,000 kila siku kila mmoja, kutokana na mchezo wa kupokezana fedha (upatu) waliouanzisha hivi karibuni...
    (20 March 2010)
Views: 330 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Mziray wa APPT Maendeleo kuwania urais mwaka huu

Habari mbalimbali  
Mwenyekiti wa APPT Maendeleo, Peter Mziray, amesema anajiandaa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu...
    (20 March 2010)
Views: 14 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Waliochaguliwa kidato cha tano 2010 watajwa

Habari mbalimbali  
Waliochaguliwa kidato cha tano 2010 watajwa
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe.

*Waziri atangaza 32,765 kwenda shule za serikali

Wanafunzi 32,765 waliomaliza kidato cha nne mwaka jana, wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano katika shule 164 za serikali nchini. Kati ya wanafunzi hao, 897 wakiwamo wasichana 16 na wavulana 881, wamepangwa kujiunga na vyuo vinne vya ufundi ambavyo ni Chuo cha Mbeya (MIST), Dar es Salaam (DIT), Arusha (ATC) na Chuo cha Maji Dar es Salaam...
    (19 March 2010)
Views: 147 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

CCJ waibukia kwa Nyerere

Habari mbalimbali  
CCJ waibukia kwa Nyerere
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Jamii (CCJ), Richard Kyabo (kulia), akiangua kilio baada ya yeye na Katibu Mkuu wake, Renatus Muhabhi, kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, katika kijiji cha Butiama mkoani Mara jana.

*Wabubujikwa machozi kaburini kwake
*Wahutubia hadhara, kadi kama njugu

Viongozi wa Chama Cha Jamii (CCJ) jana walifanya ziara nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, na kufanya mazungumzo na wanafamilia hiyo...
    (19 March 2010)
Views: 282 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

Mwinyi: Wasiomcha Mungu walizima Azimio la Arusha

Habari mbalimbali  
Mwinyi: Wasiomcha Mungu walizima Azimio la Arusha

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, amesema Azimio la Arusha halikufutwa bali lilizimwa na baadhi ya viongozi wasio wacha Mungu, waliokuwa chanzo kikuu cha kuuzwa kwa mashirika ya umma...
    (19 March 2010)
Views: 121 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Unamlindaje Mwanao na Mtandao

Habari mbalimbali  
Unamlindaje Mwanao na Mtandao
Ni miaka 3 iliyopita ambapo vijana 5 wa kimarekani walianza
kuwasiliana na mtu waliyekutana nae kwenye mtandao wa facebook.com kwa
kuwa rafiki huyo mpya alikuwa na nia ya kupata vijana wengi zaidi kwa
ajili ya shuguli zao basi akajificha chini ya profile inayowapendeza
vijana wale .
Aliweka picha nzuri ya .....
.
    (18 March 2010)
Views: 679 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

WANASIASA WAVUA NGUO KUPINGA BAJETI

Habari mbalimbali  
WANASIASA WAVUA NGUO KUPINGA BAJETI
Wanasiasa wa jiji la Roma wakionyesha nguo zao za ndani walipokuwa wakipinga sera ya Gianni Alemanno aliyegoma kupitisha bajeti ya mji huo.

Katika kile kinachoonyesha sasa wanasiasa wa nchini Italia wamecharuka kwa kutaka maendeleo, hivi karibuni maofisa wa Manispaa wa jiji la Rome, walikusanyika na kufanya maandamano kwa kuvua suruali zao wakilazimisha kupita kwa bajeti ya nchi hiyo kwa mwaka 2010.

Moja kati ya bango walilokuwa wamebeba lilisomeka "Maeneo ya kupaki na bustani zimevunjwa", "Watu hawana makazi”
Meya Sandro Medici wa Cinecitta alimtaja mwanasiasa Alemanno aliyekataa kupitishwa kwa bajeti hiyo kutokana na kudai kuwa na kodi ambazo sio za msingi.
    (18 March 2010)
Views: 16 | Maoni (1) |

 

Wanaokampeni kwa fedha ‘watiwa pingu’

Habari mbalimbali  
Wanaokampeni kwa fedha ‘watiwa pingu’
RAIS Jakaya Kikwete amesaini Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya Mwaka 2010 katika Viwanja vya Ikulu, Dar es Salaam, katika moja ya matukio ya nadra kwa mkuu wa nchi kusaini sheria kwa mbwembwe tofauti na mazoea ya kusainiwa kimyakimya na kisha kuwekwa katika Gazeti la Serikali...
    (18 March 2010)
Views: 212 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

CHELSEA 'OUT' LIGI YA MABINGWA ULAYA

Habari mbalimbali  
CHELSEA 'OUT' LIGI YA MABINGWA ULAYA
...Samuel Etoo akitupia bao la pekee katika mechi hiyo.

CHELSEA 'OUT' LIGI YA MABINGWA ULAYA
...Didier Drogba akitoka nje ya uwanja baada ya kuzawadiwa kadi nyekundu.

CHELSEA 'OUT' LIGI YA MABINGWA ULAYA
...Jose Murinho (aliyenyoosha mkono) akimpanikisha kocha wa Chelsea Carlo Ancelotti.

Mbio za Chelsea za kuwania taji ya klabu bingwa barani Ulaya zimeishia ukingoni baada ya kutandikwa bao 1-0 na Inter Milan wakiwa nyumbani Stamford Bridge...
    (17 March 2010)
Views: 139 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Mchungaji adaiwa kuua mwanaye akimtuhumu kumuibia Sh. 50,000

Habari mbalimbali  
Mchungaji adaiwa kuua mwanaye akimtuhumu kumuibia Sh. 50,000

Mchungaji wa Kanisa la African Inland Church (AIC), Jonathan Sabuni (60), Mkazi wa kijiji cha Kasamwa wilayani Geita, Mkoa wa Mwanza, ameua mwanaye Amos Jonathan (16), kwa kipigo kwa tuhuma za kumwibia Sh. 50,000...
    (17 March 2010)
Views: 246 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Rais Zuma alenga kutuliza siasa Zimbabwe

Habari mbalimbali  
Rais Zuma alenga kutuliza siasa Zimbabwe

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anatarajiwa kuzuru Zimbabwe hii leo ili kujaribu kutatua tofauti zilizopo kwenye serikali ya muungano kati ya chama cha ZANU PF cha Rais Robert Mugabe na MDC cha Waziri Mkuu Morgan Tsvangirai...
    (17 March 2010)
Views: 37 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mgodi wa Barrick waporomoka

Habari mbalimbali  
Mgodi wa Barrick waporomoka

Wafanyakazi watatu wa kampuni ya Barrick Gold wanahofiwa kufa baada ya kuporomoka kwa mwamba katika mgodi wake wa Bulyanhulu ulioko wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga...
    (17 March 2010)
Views: 122 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Bomani atoa waraka mzito CCM, Serikali

Habari mbalimbali  
Bomani atoa waraka mzito CCM, Serikali
MWANASHERIA Mkuu mstaafu wa Serikali Jaji Mark Bomani.

*ASEMA MFUMO WA UCHAGUZI NCHINI UNACHOCHEA UFISADI
Na Ramadhan Semtawa

MWANASHERIA Mkuu mstaafu wa Serikali Jaji Mark Bomani, ameandika waraka mzito kwenda CCM na serikali yake, ambao pamoja na mengine unaelezea mfumo wa sasa wa uchaguzi kuwa ni kichochea cha ufisadi katika kupata viongozi wa dola...
    (17 March 2010)
Views: 143 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Hatma ya Liyumba kortini Aprili 9

Habari mbalimbali  
Hatma ya Liyumba kortini Aprili 9
Amatus Liyumba.

UPANDE wa mashitaka katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, umefunga ushahidi wake na kuiachia Mahakama kuamua kama mshitakiwa ana kesi ya kujibu au la...
    (16 March 2010)
Views: 156 | Maoni (1) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 33 34 35  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com