arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » ijumaa

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Hii inasikitisha
» My Ghosts (13)
» Iam BACK From Hell(19)
» Mambo 45 ya kuhuzunisha ...
» Nyoshi sasa kuporwa vit ...
» Ze Comedy kwisha!
» IT'S LAUNCHING TIME

 

Mimi na Richie kaka na dada

ijumaa  
Mimi na Richie kaka na dada

Ni kawaida ya kona hii kila wiki kuwaletea mmoja wa watu wenye majina katika fani mbalimbali.
Wiki iliyopita tulikuwa na Mkurugenzi wa Bendi ya Muziki wa Dansi ya T-Respect, Kapteni mstaafu, John Damian Komba.
Wiki hii tunaye msanii anayekuja juu katika Tasnia ya Filamu nchini...
    (2 January 2009)
Views: 557 | Maoni (14) | Soma Zaidi

 

GARDNER: bila Jide wangu mimi si lolote

ijumaa  
GARDNER: bila Jide wangu mimi si lolote

Mtangazaji wa kiume mwenye mvuto nchini, Gardner Gabriel Habash amekata mzizi wa fitina na kueleza stori ndani ya moyo wake kuhusu ndoa yake na galacha wa Bongo Fleva, Judith Wambura Habash ‘Lady Jaydee’...
    (2 January 2009)
Views: 1172 | Maoni (25) | Soma Zaidi

 

Vitimbi Mwaka Mpya

ijumaa  
Vitimbi Mwaka Mpya
Na Waandishi Wetu

Wasanii wanaounda ‘kruu’ ya Orijino Komedi ambayo ‘hudili’ na vipindi vya vichekesho katika Runinga ya TBC1, usiku wa kuamkia jana, walifanya madudu yasiyoendana na hadhi yao kwenye jamii...
    (2 January 2009)
Views: 1054 | Maoni (14) | Soma Zaidi

 

MWAKA WA SHETANI

ijumaa  
MWAKA WA SHETANI
Na Mwandishi Wetu

Joto la jiwe lililowaunguza vigogo wengi wa serikali na wale wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii ya Watanzania katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, linatoa tafsiri kuwa 2008 ulikuwa ni Mwaka wa Shetani....
    (26 December 2008)
Views: 365 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Shule yangu ni msaada wa Rais Mstaafu wa Malawi

ijumaa  
Shule yangu ni msaada wa Rais Mstaafu wa Malawi

Ukienda upande wa siasa utamkuta ni mwanasiasa mzuri na pia ni Kada wa Chama Tawala (CCM), ukirudi upande wa wasanii ni mwimbaji nambari wani wa Tanzania.Hapa namzungumzia Kapteni mstaafu na Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi, John Damian Komba ambaye leo nimeamua kumtafuta makusudi ili tujue mawili matatu kutoka kwake. Twende kazi…
    (26 December 2008)
Views: 698 | Maoni (11) | Soma Zaidi

 

ALBADILI

ijumaa  
ALBADILI
Na Waandishi Wetu

Dua nzito (Albadili) ya kuwasomea wabaya wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (UVCCM), Amina Chifupa inatarajiwa kusomwa hivi karibuni, Ijumaa limeng’atwa sikio...

    (26 December 2008)
Views: 502 | Maoni (7) | Soma Zaidi

 

VICK MARTIN: WA KUOLEWA NITAKUWA MIMI

ijumaa  
VICK MARTIN: WA KUOLEWA NITAKUWA MIMI

Amani iwe kwenu wapenzi wasomaji wa gazeti hili pendwa, Ijumaa. Naamini mpo kwenye maandalizi ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya huku zikiwa zimesalia siku chache kuumaliza mwaka 2008...
    (19 December 2008)
Views: 927 | Maoni (9) | Soma Zaidi

 

Mtoto wa babu Seya: TAABANI GEREZANI

ijumaa  
Mtoto wa babu Seya: TAABANI GEREZANI
Na Catherine Kassally

rancis Nguza ambaye ni mtoto wa mwanamuziki alwatan nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ yupo hoi gerezani, akisumbuliwa na maradhi ya kibofu cha mkojo, Ijumaa linakupa ‘data’ za kutosha...
    (19 December 2008)
Views: 950 | Maoni (6) | Soma Zaidi

 

Irene Uwoya nusura kubakwa

ijumaa  
Irene Uwoya nusura kubakwa
Na Waandishi Wetu

Miss Tanzania namba tano 2006-07, Irene Uwoya anasakwa na polisi wa Kituo cha Selander, Dar es Salaam akituhumiwa kuwatukana askari ambao walifika kumuokoa kwenye jaribio la kubakwa...
    (19 December 2008)
Views: 1161 | Maoni (15) | Soma Zaidi

 

Mimi siyo kuwadi – Lundenga

ijumaa  
Mimi siyo kuwadi – Lundenga

Baada ya wiki iliyopita kuwa na Mtangazaji wa kituo cha redio, Clouds FM, Gea Habib, wiki hii tumemshika Dairekta wa Miss Tanzania, Anko Hashim Lundenga. Iko hivi:...

    (12 December 2008)
Views: 863 | Maoni (18) | Soma Zaidi

 

KANUMBA: NARGIS ALINITESA KIMAPENZI

ijumaa  
 KANUMBA: NARGIS ALINITESA KIMAPENZI
Na Waandishi Wetu

Mcheza filamu wa kiume anayeaminika kuwa nambari wani, Steven Charles Kanumba anadaiwa kuwa yupo kwenye maumivu ya mapenzi yanayotokana na kutoswa na Miss Tanzania namba tatu mwaka 2003, Nargis Mohamed...

    (12 December 2008)
Views: 2077 | Maoni (20) | Soma Zaidi

 

Kapuya, Bosi Akudo Nusura watwangane

ijumaa  
Kapuya, Bosi Akudo Nusura watwangane
Na Waandishi Wetu

Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Juma Kapuya, Jumapili iliyopita almanusura atwangane na Mkurugenzi wa Bendi ya Akudo Impact, Michael Andrew, Ijumaa lilikuwepo na kushuhudia....
    (12 December 2008)
Views: 930 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

TID abadili

ijumaa  
TID abadili
Na Mwandishi Wetu

Baada ya staa wa ukweli kunako muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed ‘TID’ kutoka gerezani katikati ya wiki hii kutokana na msamaha wa Rais JK sasa msanii huyo ataanza kutambulika kwa jina jipya la Prison Voices (Sauti za Wafungwa)....

    (12 December 2008)
Views: 946 | Maoni (11) | Soma Zaidi

 

Rose, Bahati nani mkali?

ijumaa  
Rose, Bahati nani mkali?
Na Mwandishi Wetu

Mpambano huu wa nyota hawa wa nyimbo za Gospel nchini, Rose Muhando na Bahati Bukuku umeanzia kwenye mtandao wa Global Publishers huku wasomaji wakiwa wameshatuma kura zao kibao...



    (12 December 2008)
Views: 330 | Maoni (12) | Soma Zaidi

 

GEA: MIBUZI ITANIVUNJIA NDOA

ijumaa  
GEA: MIBUZI ITANIVUNJIA NDOA

Amani iwe kwenu wapenzi wasomaji wa gazeti hili pendwa la Ijumaa, nimerudi tena mtumishi wenu katika safu hii ya maswali kumi ya watu maarufu hapa nchini na duniani...
    (5 December 2008)
Views: 951 | Maoni (9) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 17 18 19  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com