arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » ijumaa

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» A-Z sakata la Jerry Muro
» KIFO CHA FUNDIKIRA: BEN KIN ...
» Tuhuma za baba kuua watoto ...
» MONALISA APASUA JIPU
» MESEJI ZA MAPENZI ZA WABUNG ...
» 40 ZA WASALITI
» Mjane wa balozi aliyeuawa a ...
» Miss afungwa jela mwaka ...
» Beyond Love 14
» Mwenzi wako anapata ana ...
» Uchokozi wa kimahaba wa ...
» Tumaini la mwisho - 27
» Sakata la vyeti feki vy ...
» Nilibambikiwa kesi, nik ...

 

MTOTO WA MBUNGE NUSURA AMUUE MISS TZ

ijumaa  
MTOTO WA MBUNGE NUSURA AMUUE MISS TZ

Na Imelda Mtema
Timbwili la nguvu limemhusisha mshiriki wa Miss Tanzania na Miss Ilala 2006, Jacqueline Patrick kushushiwa makonde ‘hevi’ na mtoto wa mbunge wa Koani, Zanzibar, Said Haroub, Ifraji Said na sasa anaugulia katika Hospitali ya mkoa wa kitabibu wa Kinondoni, Mwananyamala, jijini Dar, Ijumaa lina ‘ei bii sii.’...
    (5 February 2010)
Views: 1543 | Maoni (11) | Soma Zaidi

 

Skendo ya daktari kubaka mgonjwa

ijumaa  
Skendo ya daktari kubaka mgonjwa

Na Issa Mnally
Ile skendo ya Dokta wa Hospitali ya Marie Stopes iliyopo Mwenge, jijini Dar es Salaam, Dk. Paulo Andrew (35) ya kudaiwa kumbaka mwanamke mgonjwa (30), sasa imemfikisha kizimbani, Ijumaa linakupa ‘muvi’ nzima...
    (5 February 2010)
Views: 1245 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

SAKATA LA MBUNGE KUMUITA KIGOGO CCM MALAYA CHANZO CHADAIWA NI...

ijumaa  
SAKATA LA MBUNGE KUMUITA KIGOGO CCM MALAYA CHANZO CHADAIWA NI...
Na Mwandishi Wetu
Ripota wa ITV, Radio One mkoani Morogoro, Amina Said anatajwa kwenye skandali la mapenzi, madai yanasema kuwa amewekwa kimada na Mbunge wa Mvomero, Suleiman Murad Sadiq...
    (5 February 2010)
Views: 883 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Warembo wengi kupata fangasi, kuwa wagumba!

ijumaa  
Na Christopher Lissa
Balaa la kusambaa kwa ‘Pedi’ feki aina ya Always, zenye madhara makubwa kwa wanawake linaendelea kuitikisa nchi ambapo warembo wengi wako katika hatari kubwa ya kukumbwa na hatari ya fangasi na ugumba baada ya watengenezaji kubuni mbinu mpya, Ijumaa limebaini...
    (5 February 2010)
Views: 99 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Thea atetea ulokole wake

ijumaa  
Thea atetea ulokole wake
Na Christopher Lissa
The Bongo Actress Superstar, Ndumbangwe Misayo ‘Thea’ ameapa kuwa yeye ni mlokole halisi ingawa jamii inamchukulia tofauti kulingana na ‘life style’ yake...
    (5 February 2010)
Views: 455 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

Timbwili laibuka kanisani!

ijumaa  
Timbwili laibuka kanisani!
Na Mwandishi Wetu
Katika hali ya kushangaza, Bwana Ladislaus Luambano ambaye anadaiwa kuwa mume halali wa ndoa wa Bi. Teopista Luambano (pichani juu), alitaka kufunga ndoa nyingine na Bi Merysiana Tarimo lakini mkewe akashtukia dili na kuweka pingamizi kanisani...
    (5 February 2010)
Views: 425 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Jini Kabula awa binti ulabu

ijumaa  
Jini Kabula awa binti ulabu

Na Christopher Lissa
Staa wa muvi Bongo, mwanadada Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, hivi karibuni alishangaza umma baada ya kutandika ulabu ‘mma’ kama hana akili nzuri, Ijumaa limeinasa...
    (5 February 2010)
Views: 448 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

LULU: Iliniuma kuambiwa natembea na wanaume walionizidi umri

ijumaa  
LULU: Iliniuma kuambiwa natembea na wanaume walionizidi umri

Ni wiki nyingine tunapokutana tena kupitia safu hii nikiamini kwamba mko poa kabisa. Leo ndani ya nyumba tuko na kabinti ambako kamekuwa kakifanya vizuri sana kupitia sanaa ya filamu na maigizo hapa nchini. Namzungumzia Lulu lakini leo kupitia ‘Interview’ hii utapata kujua jina lake kamili na mambo kadha wa kadha ambayo ulikuwa huyajui...
    (5 February 2010)
Views: 650 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

SAA 2 USIKU, LISA AVAMIWA

ijumaa  
SAA 2 USIKU, LISA AVAMIWA
SAA 2 USIKU, LISA AVAMIWA

Na Mwandishi Wetu
Mrembo wa Tanzania no3 mwaka 2006 na mcheza sinema maarufu nchini, Lisa Jensen, amenusurika kuuawa nyumbani kwakena vijana...
    (29 January 2010)
Views: 2070 | Maoni (6) | Soma Zaidi

 

Machangu wampa kibano ‘FFU’

ijumaa  
Machangu wampa kibano ‘FFU’

Na Mashaka Baltazar, Mwanza
Wana wa jinsi ya kike wanaojishughulisha na biashara ya kuuza miili yao a.k.a machangudoa, hivi sasa wamecharuka, hawataki kuingiliwa wakiwa sokoni, hivi karibu mmoja wao jijini hapa, alimpa kibano askari wa kikosi cha kutuliza ghasia ‘FFU’...
    (29 January 2010)
Views: 910 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

Bifu la Hemed na Mlela

ijumaa  
Bifu la Hemed na Mlela
Na Mwandishi Wetu
Wasanii vidume katika Kiwanda cha filamu Bongo, Ijumaa Sexiest Barchelor, Yusuf Mlela ‘Anjelo’ na mzee wa ‘mavoko,’ Hemed Suleiman wanadaiwa kuwa katika bifu kubwa, Ijumaa lina undani wa ishu nzima...
    (29 January 2010)
Views: 787 | Maoni (6) | Soma Zaidi

 

Nilipoambiwa Chalz Baba kafariki, nusura nizimie - Asha Baraka

ijumaa  
Nilipoambiwa Chalz Baba kafariki, nusura nizimie - Asha Baraka
Na Richard Bukos
Mkurugenzi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta,’ Asha Baraka ameibuka na kudai kuwa, taarifa iliyozushwa ya kifo cha mwanamuziki wake, Charles Gabriel ‘Charlz Baba’ ilimfanya achanganyikiwe na kutaka kuzimia...
    (29 January 2010)
Views: 869 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Tino na skendo ya kubadili wanawake kama nguo!

ijumaa  
Tino na skendo ya kubadili wanawake kama nguo!
Na Musa Mateja
Tuhuma mbaya zimemuangukia muigizaji ‘tozi’ kutoka chimbo la filamu Bongo, Hissani Muya ‘Tino’, kufuatia madai ya kwamba, jamaa amekuwa na tabia ya kubadili mademu kama nguo...
    (29 January 2010)
Views: 565 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Mimi na Kanumba ni zilipendwa

ijumaa  
Mimi na Kanumba ni zilipendwa

Na Waandishi Wetu
Mrembo anayekuja kasi katika ‘Industry’ ya filamu Bongo, Shamsa Ford ameibuka na kudai kuwa yeye na mwigizaji ‘5 Star’ ndani na nje ya nchi, Steven Charles Kanumba ‘The Great’ ni marafiki tangu zamani ‘zilipendwa,’ Gazeti ‘clasic’ la Ijumaa limeinasa...
    (29 January 2010)
Views: 574 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

FRESH JUMBE: Hayati Marijani Rajabu ni kioo changu kisanii!

ijumaa  
FRESH JUMBE: Hayati Marijani Rajabu ni kioo changu kisanii!

TQ : Karibu sana Bongo mtu mzima, najua umepa-miss vya kutosha, kwa kuanza naomba utupe historia yako kwa ufupi, ikiwa ni pamoja na namna ulivyoanza ku-shine kwenye game...
    (29 January 2010)
Views: 160 | Maoni (2) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 40 41 42  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com