Na Imelda Mtema Timbwili la nguvu limemhusisha mshiriki wa Miss Tanzania na Miss Ilala 2006, Jacqueline Patrick kushushiwa makonde ‘hevi’ na mtoto wa mbunge wa Koani, Zanzibar, Said Haroub, Ifraji Said na sasa anaugulia katika Hospitali ya mkoa wa kitabibu wa Kinondoni, Mwananyamala, jijini Dar, Ijumaa lina ‘ei bii sii.’...
Na Issa Mnally Ile skendo ya Dokta wa Hospitali ya Marie Stopes iliyopo Mwenge, jijini Dar es Salaam, Dk. Paulo Andrew (35) ya kudaiwa kumbaka mwanamke mgonjwa (30), sasa imemfikisha kizimbani, Ijumaa linakupa ‘muvi’ nzima...
Na Mwandishi Wetu Ripota wa ITV, Radio One mkoani Morogoro, Amina Said anatajwa kwenye skandali la mapenzi, madai yanasema kuwa amewekwa kimada na Mbunge wa Mvomero, Suleiman Murad Sadiq...
Na Christopher Lissa Balaa la kusambaa kwa ‘Pedi’ feki aina ya Always, zenye madhara makubwa kwa wanawake linaendelea kuitikisa nchi ambapo warembo wengi wako katika hatari kubwa ya kukumbwa na hatari ya fangasi na ugumba baada ya watengenezaji kubuni mbinu mpya, Ijumaa limebaini...
Na Christopher Lissa The Bongo Actress Superstar, Ndumbangwe Misayo ‘Thea’ ameapa kuwa yeye ni mlokole halisi ingawa jamii inamchukulia tofauti kulingana na ‘life style’ yake...
Na Mwandishi Wetu Katika hali ya kushangaza, Bwana Ladislaus Luambano ambaye anadaiwa kuwa mume halali wa ndoa wa Bi. Teopista Luambano (pichani juu), alitaka kufunga ndoa nyingine na Bi Merysiana Tarimo lakini mkewe akashtukia dili na kuweka pingamizi kanisani...
Na Christopher Lissa Staa wa muvi Bongo, mwanadada Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, hivi karibuni alishangaza umma baada ya kutandika ulabu ‘mma’ kama hana akili nzuri, Ijumaa limeinasa...
Ni wiki nyingine tunapokutana tena kupitia safu hii nikiamini kwamba mko poa kabisa. Leo ndani ya nyumba tuko na kabinti ambako kamekuwa kakifanya vizuri sana kupitia sanaa ya filamu na maigizo hapa nchini. Namzungumzia Lulu lakini leo kupitia ‘Interview’ hii utapata kujua jina lake kamili na mambo kadha wa kadha ambayo ulikuwa huyajui...
Na Mashaka Baltazar, Mwanza Wana wa jinsi ya kike wanaojishughulisha na biashara ya kuuza miili yao a.k.a machangudoa, hivi sasa wamecharuka, hawataki kuingiliwa wakiwa sokoni, hivi karibu mmoja wao jijini hapa, alimpa kibano askari wa kikosi cha kutuliza ghasia ‘FFU’...
Na Mwandishi Wetu Wasanii vidume katika Kiwanda cha filamu Bongo, Ijumaa Sexiest Barchelor, Yusuf Mlela ‘Anjelo’ na mzee wa ‘mavoko,’ Hemed Suleiman wanadaiwa kuwa katika bifu kubwa, Ijumaa lina undani wa ishu nzima...
Na Richard Bukos Mkurugenzi wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta,’ Asha Baraka ameibuka na kudai kuwa, taarifa iliyozushwa ya kifo cha mwanamuziki wake, Charles Gabriel ‘Charlz Baba’ ilimfanya achanganyikiwe na kutaka kuzimia...
Na Musa Mateja Tuhuma mbaya zimemuangukia muigizaji ‘tozi’ kutoka chimbo la filamu Bongo, Hissani Muya ‘Tino’, kufuatia madai ya kwamba, jamaa amekuwa na tabia ya kubadili mademu kama nguo...
Na Waandishi Wetu Mrembo anayekuja kasi katika ‘Industry’ ya filamu Bongo, Shamsa Ford ameibuka na kudai kuwa yeye na mwigizaji ‘5 Star’ ndani na nje ya nchi, Steven Charles Kanumba ‘The Great’ ni marafiki tangu zamani ‘zilipendwa,’ Gazeti ‘clasic’ la Ijumaa limeinasa...
TQ : Karibu sana Bongo mtu mzima, najua umepa-miss vya kutosha, kwa kuanza naomba utupe historia yako kwa ufupi, ikiwa ni pamoja na namna ulivyoanza ku-shine kwenye game...