arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » ijumaa

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» MSHANGAO!
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» MARIAM MIGOMBA MACHO YAKE Y ...
» MWANAUME WA AINA HII U ...
» THE COMMEDY ENTERTEINME ...
» YANGA YAVUTA PUMZI
» Niliteswa na viumbe vis ...
» SIKU NILIPOKULA NYAMA Y ...
» Kipofu aanza kuona mara ...
» Ndoa na mabadiliko yake

 

NATESEKA

ijumaa  
NATESEKA

Na Mwandishi Wetu
Ikiwa ni miezi kadhaa imekatika toka akumbwe na skendo ya kupiga picha za ngono, mnenguaji mkongwe wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’ aliye pia ‘mnyapala’ wa safu ya wacheza shoo, Aisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’, anadaiwa kuibuka kutoka mafichoni akielezea mateso aliyoyapata kufuatia kuandikwa kwa skendo hiyo...
    (12 March 2010)
Views: 1992 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

Kanumba na Mamiss

ijumaa  
Kanumba na Mamiss
Na Mwandishi Wetu
Mkali wa sinema za Bongo anayekwenda kwa jina la Steven Charles Kanumba ‘The Great’ anadaiwa kuwa na ‘ugonjwa’ wa kupagawa kimahaba zaidi na mamisi kuliko ‘taipu’ nyingine ya wasichana, Ijumaa linashuka na full data...
    (12 March 2010)
Views: 1469 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Wateja wa Zantel Zanzibar kunufaika na Promosheni ya Chomoka na Vespa

ijumaa  
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya Mtandao wa simu za mkononi ya Zantel, imezindua promosheni kubwa ya CHOMOKA NA VESPA, maalum kwa lengo la kunufaisha wateja wake wa Zanzibar...
    (12 March 2010)
Views: 24 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

SHAMSA: Siwezi kumvulia nguo Prodyuza

ijumaa  
Na Imelda Mtema
Mcheza filamu sistaduu Bongo, Shamsa Ford, amesema kamwe hatokubali kutoa penzi lake kwa Prodyuza awaye yeyote wa ‘muvi’ ili aweze kuuza sura...
    (12 March 2010)
Views: 209 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Kimwana Manywele alilia mume wa mtu

ijumaa  
Na Richard Bukos
Mrembo anayeshikilia ‘krauni’ ya Kimwana wa Manywele, Halima Haruni, hivi karibuni alielezea kilio chake baada ya kupigwa chini na Pedeshee mmoja maarufu kwa jina la Injinia...
    (12 March 2010)
Views: 407 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Bora nikae na ‘Mchuchu home’ kuliko kwenda kujirusha-Mc Regan

ijumaa  
Na Musa Mateja
Mchekeshaji wa Kundi la Vichekesho la Orijino Komedi, Alex Chalamila ‘McRegan’, ametoa kali ya mwaka baada ya kueleza kuwa, starehe yake kubwa anayoipenda katika maisha yake ni kukaa geto na mpenzi wake huku wakioneshana ‘malavidavi’ badala ya kwenda kujirusha viwanja...
    (12 March 2010)
Views: 230 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

MARIAM MIGOMBA: Jamani mimi siyo shangingi nimeolewa na nina familia yangu!

ijumaa  
MARIAM MIGOMBA: Jamani mimi siyo shangingi nimeolewa na nina familia yangu!
Baada ya wiki iliyopita kuwa na mkongwe wa Bongo Flava, Kidume Mzee Mnonji ‘Hardmad’ katika mistari hii michache ya Ten Questions,leo tunaye Mtangazaji wa Kipindi cha Muziki wa Mwambao kunako Kituo cha Runinga na Redio cha Taasisi ya Habari ya TBC, Mariam Migomba...
    (12 March 2010)
Views: 650 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

IMEFICHUKA

ijumaa  
IMEFICHUKA
Na Mwandishi Wetu
Imefichuka na wala siyo siri tena kuwa, binti mrembo anayekwenda kwa jina la Jamilah Hassan, ‘maruhani’ yake ya kimahaba yapo kwa wasakata kabumbu zaidi kuliko wanawaume wenye fani nyingine, Ijumaa linashuka na a,e,i,o,u yake...
    (5 March 2010)
Views: 1251 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Mtoto wa kigogo anaswa kwa wizi maduka ya Kariakoo

ijumaa  
Mtoto wa kigogo anaswa kwa wizi maduka ya Kariakoo
Na Issa Mnally
Waswahili walinena za mwizi arobaini, msemo huo haupo mbali sana na tukio la hivi karibuni la binti mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Fatuma ambaye inadaiwa ni mtoto wa Kigogo mmoja nchini, kukamatwa na kupewa kichapo baada ya kudaiwa kufanya jaribio la kuiba nguo...
    (5 March 2010)
Views: 595 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Jack Patrick nasikia raha kupiga picha chafu chafu

ijumaa  
Jack Patrick nasikia raha kupiga picha chafu chafu
Na Imelda Mtema
Nuss Ukakam 2006 Hacqyekube Oatrucj abaubgua jwebte kustu ta nastaa wakui jatuja 'fomati' ya kupiga na kupigwa picha chafu, ijumaa linamwanika ...
    (5 March 2010)
Views: 972 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Bi Kidude amchimba mkwara Mc Babu Ayubu

ijumaa  
Bi Kidude amchimba mkwara Mc Babu Ayubu
Na Richard Bukos
Nyota wa muziki wa mwambao Bongo, Fatuma Baraka ‘Bi. Kidude’, hivi karibuni alimchimba mkwara ‘hevi’ msanii wa Muziki wa kizazi Kipya, Babu Ayubu, ambaye amejipatia ‘neimu’ na wimbo wake wa Chaja ya Kobe akitumia sauti ya mkongwe huyo...
    (5 March 2010)
Views: 533 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

THT wakimbia ufinyu

ijumaa  
THT wakimbia ufinyu
Na Musa Mateja
Taasisi ya Kukuza Vipaji vya wasanii Bongo ‘THT’, hivi karibuni ilifanya uzinduzi ‘the history’ wa jengo lake jipya, shughuli iliyofanywa na Katibu Tawala, Wilaya ya Kinondoni, Benard Patrick Marcel...
    (5 March 2010)
Views: 159 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Johmakini, G Nako nusura wauawe!

ijumaa  
Johmakini, G Nako nusura wauawe!
Na Mwandishi Wetu
Wasanii wanaokubalika nchini ndani ya game ya Muziki wa Kizazi Kipya upande wa kufokafoka, Joh Makini a.k.a Mwamba wa Kaskazini na G Nako nusura wauawe baada ya kuvamiwa na majambazi...
    (5 March 2010)
Views: 277 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Bora tufe

ijumaa  
Bora tufe
Na Imelda Mtema
Siku chache baada ya kuzagaa uvumi wa kuwepo kwa ‘ombaomba jini’ aliyepewa fedha na mwanamke mmoja kwenye gari na mkono wake kuwa na manyoya kabla ya kutoweka, tukio lililochukua ...
    (5 March 2010)
Views: 575 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

HARDMAD: Nimeimba sana lakini mafanikio ‘ziro’

ijumaa  
Baada ya wiki iliyopita kuwa na msakata kabumbu kutoka chama la Yanga la jijini Dar es Salaam, leo tunaye msanii wa muziki wa Bongo Fleva anayekwenda kwa jina la Kidume Mzee Mnonji a.k.a Hardmad. Ungana nami basi ili uweze kujua mambo kadha wa kadha ambayo ulikuwa huyajui kuhusu jamaa huyu ...
    (5 March 2010)
Views: 56 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 42 43 44  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com