Na Mwandishi Wetu Imefichuka na wala siyo siri tena kuwa, binti mrembo anayekwenda kwa jina la Jamilah Hassan, ‘maruhani’ yake ya kimahaba yapo kwa wasakata kabumbu zaidi kuliko wanawaume wenye fani nyingine, Ijumaa linashuka na a,e,i,o,u yake...
Na Issa Mnally Waswahili walinena za mwizi arobaini, msemo huo haupo mbali sana na tukio la hivi karibuni la binti mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Fatuma ambaye inadaiwa ni mtoto wa Kigogo mmoja nchini, kukamatwa na kupewa kichapo baada ya kudaiwa kufanya jaribio la kuiba nguo...
Na Imelda Mtema Nuss Ukakam 2006 Hacqyekube Oatrucj abaubgua jwebte kustu ta nastaa wakui jatuja 'fomati' ya kupiga na kupigwa picha chafu, ijumaa linamwanika ...
Na Richard Bukos Nyota wa muziki wa mwambao Bongo, Fatuma Baraka ‘Bi. Kidude’, hivi karibuni alimchimba mkwara ‘hevi’ msanii wa Muziki wa kizazi Kipya, Babu Ayubu, ambaye amejipatia ‘neimu’ na wimbo wake wa Chaja ya Kobe akitumia sauti ya mkongwe huyo...
Na Musa Mateja Taasisi ya Kukuza Vipaji vya wasanii Bongo ‘THT’, hivi karibuni ilifanya uzinduzi ‘the history’ wa jengo lake jipya, shughuli iliyofanywa na Katibu Tawala, Wilaya ya Kinondoni, Benard Patrick Marcel...
Na Mwandishi Wetu Wasanii wanaokubalika nchini ndani ya game ya Muziki wa Kizazi Kipya upande wa kufokafoka, Joh Makini a.k.a Mwamba wa Kaskazini na G Nako nusura wauawe baada ya kuvamiwa na majambazi...
Na Imelda Mtema Siku chache baada ya kuzagaa uvumi wa kuwepo kwa ‘ombaomba jini’ aliyepewa fedha na mwanamke mmoja kwenye gari na mkono wake kuwa na manyoya kabla ya kutoweka, tukio lililochukua ...
Baada ya wiki iliyopita kuwa na msakata kabumbu kutoka chama la Yanga la jijini Dar es Salaam, leo tunaye msanii wa muziki wa Bongo Fleva anayekwenda kwa jina la Kidume Mzee Mnonji a.k.a Hardmad. Ungana nami basi ili uweze kujua mambo kadha wa kadha ambayo ulikuwa huyajui kuhusu jamaa huyu ...
Na Mwandishi Wetu Waraka wenye ujumbe mzito kutoka kwa Staa wa Muziki wa Dansi aliye kifungoni kwa sasa, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kwenda kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, hatimaye umefika mezani kwa mlengwa...
Steven William Gambo a.k.a Steve wa R&B, once again amethibitisha kwamba yeye ni ‘Special One’ katika uwanja wa staili hiyo ya muziki Bongo, kwa kuachia traki yenye meno makali inayopenyeka vizuri masikioni, ngoma inakwenda kwa jina la One Love...
Staa anayevaa jezi ya Wanamuziki wa Kizazi Kipya, Sarah Kaisi ‘Shaa’ ameukamia mbaya mwaka huu wa 2010 kutokana na mikakati yake ya kujaza gunia ikiwa ni pamoja na kuipua albamu yenye moto mkali...
Bongo Flava ipo ‘levo’ nyingine kwa sasa na wasanii wake ambao kipindi hicho wanaanza kusababisha walionekana ni ‘madogo lee’ nowdays wamepevuka na mawazo yao ni ya kiutu uzima, kamatia hii...
Na Waandishi Wetu Patric Ponce, raia wa Zambia mwenye makazi yake nchini Canada aliyedaiwa kutia miguu nchini kumsaka Nyota wa kike wa ‘industry’ ya filamu Bongo, Irene Uwoya ‘Mama Ndikumana’, amedaiwa kuwaliza mastaa, Ijumaa linakupa kitu kamili...
Na Mwandishi Wetu Ufanisi usio kifani wa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM unaofanywa na asasi ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii nchini NSSF, umempandisha dau Mkurugenzi wake, Dr. Ramadhani Dau...
Na Mwandishi Wetu Pamoja na kugongwa na gari akiwa katika harakati za kuigiza tukio la mwanamke anayedaiwa kuota manyoya na kuyeyuka, mchekeshaji wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’, anasakwa na ombaomba wa Daraja la Selander ‘Salenda briji’, jijini Dar es Salaam...