arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » ijumaa

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JE, UNGEPENDA KUPATA RAFIKI ...
» JIDE HOI
» MSHANGAO!
» Rais Kabila aomba wakafungw ...
» HUKUMU YA BABU SEYA!
» Waraka wa Papii watua kwa J ...
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» AZALISHWA WATOTO 17 KIM ...
» TWANGA WAENDELEA KUKAMU ...
» FRANK & ANGELO: NANI ZA ...
» KHADIJA YUSUF AFUMWA KW ...
» ALIYEMPIGA RISASI PAPA ...
» silent forever! -38
» Mpaka home ya Fresh Jum ...

 

IMEFICHUKA

ijumaa  
IMEFICHUKA
Na Mwandishi Wetu
Imefichuka na wala siyo siri tena kuwa, binti mrembo anayekwenda kwa jina la Jamilah Hassan, ‘maruhani’ yake ya kimahaba yapo kwa wasakata kabumbu zaidi kuliko wanawaume wenye fani nyingine, Ijumaa linashuka na a,e,i,o,u yake...
    (5 March 2010)
Views: 1111 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Mtoto wa kigogo anaswa kwa wizi maduka ya Kariakoo

ijumaa  
Mtoto wa kigogo anaswa kwa wizi maduka ya Kariakoo
Na Issa Mnally
Waswahili walinena za mwizi arobaini, msemo huo haupo mbali sana na tukio la hivi karibuni la binti mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Fatuma ambaye inadaiwa ni mtoto wa Kigogo mmoja nchini, kukamatwa na kupewa kichapo baada ya kudaiwa kufanya jaribio la kuiba nguo...
    (5 March 2010)
Views: 526 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Jack Patrick nasikia raha kupiga picha chafu chafu

ijumaa  
Jack Patrick nasikia raha kupiga picha chafu chafu
Na Imelda Mtema
Nuss Ukakam 2006 Hacqyekube Oatrucj abaubgua jwebte kustu ta nastaa wakui jatuja 'fomati' ya kupiga na kupigwa picha chafu, ijumaa linamwanika ...
    (5 March 2010)
Views: 846 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Bi Kidude amchimba mkwara Mc Babu Ayubu

ijumaa  
Bi Kidude amchimba mkwara Mc Babu Ayubu
Na Richard Bukos
Nyota wa muziki wa mwambao Bongo, Fatuma Baraka ‘Bi. Kidude’, hivi karibuni alimchimba mkwara ‘hevi’ msanii wa Muziki wa kizazi Kipya, Babu Ayubu, ambaye amejipatia ‘neimu’ na wimbo wake wa Chaja ya Kobe akitumia sauti ya mkongwe huyo...
    (5 March 2010)
Views: 461 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

THT wakimbia ufinyu

ijumaa  
THT wakimbia ufinyu
Na Musa Mateja
Taasisi ya Kukuza Vipaji vya wasanii Bongo ‘THT’, hivi karibuni ilifanya uzinduzi ‘the history’ wa jengo lake jipya, shughuli iliyofanywa na Katibu Tawala, Wilaya ya Kinondoni, Benard Patrick Marcel...
    (5 March 2010)
Views: 145 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Johmakini, G Nako nusura wauawe!

ijumaa  
Johmakini, G Nako nusura wauawe!
Na Mwandishi Wetu
Wasanii wanaokubalika nchini ndani ya game ya Muziki wa Kizazi Kipya upande wa kufokafoka, Joh Makini a.k.a Mwamba wa Kaskazini na G Nako nusura wauawe baada ya kuvamiwa na majambazi...
    (5 March 2010)
Views: 255 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Bora tufe

ijumaa  
Bora tufe
Na Imelda Mtema
Siku chache baada ya kuzagaa uvumi wa kuwepo kwa ‘ombaomba jini’ aliyepewa fedha na mwanamke mmoja kwenye gari na mkono wake kuwa na manyoya kabla ya kutoweka, tukio lililochukua ...
    (5 March 2010)
Views: 508 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

HARDMAD: Nimeimba sana lakini mafanikio ‘ziro’

ijumaa  
Baada ya wiki iliyopita kuwa na msakata kabumbu kutoka chama la Yanga la jijini Dar es Salaam, leo tunaye msanii wa muziki wa Bongo Fleva anayekwenda kwa jina la Kidume Mzee Mnonji a.k.a Hardmad. Ungana nami basi ili uweze kujua mambo kadha wa kadha ambayo ulikuwa huyajui kuhusu jamaa huyu ...
    (5 March 2010)
Views: 43 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Waraka wa Papii watua kwa JK

ijumaa  
Waraka wa Papii watua kwa JK
Na Mwandishi Wetu
Waraka wenye ujumbe mzito kutoka kwa Staa wa Muziki wa Dansi aliye kifungoni kwa sasa, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kwenda kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, hatimaye umefika mezani kwa mlengwa...
    (26 February 2010)
Views: 2403 | Maoni (17) | Soma Zaidi

 

STEVE WA R&B Athibitisha yeye ni Special One katika R&B

ijumaa  
STEVE WA R&B Athibitisha yeye ni Special One katika R&B
Steven William Gambo a.k.a Steve wa R&B, once again amethibitisha kwamba yeye ni ‘Special One’ katika uwanja wa staili hiyo ya muziki Bongo, kwa kuachia traki yenye meno makali inayopenyeka vizuri masikioni, ngoma inakwenda kwa jina la One Love...
    (26 February 2010)
Views: 84 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

SHAA AUKAMIA MBAYA 2010

ijumaa  
SHAA AUKAMIA MBAYA 2010
Staa anayevaa jezi ya Wanamuziki wa Kizazi Kipya, Sarah Kaisi ‘Shaa’ ameukamia mbaya mwaka huu wa 2010 kutokana na mikakati yake ya kujaza gunia ikiwa ni pamoja na kuipua albamu yenye moto mkali...
    (26 February 2010)
Views: 135 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

kalapina Atangaza kuwania udiwani ki’ndoni

ijumaa  
kalapina Atangaza kuwania udiwani ki’ndoni
Bongo Flava ipo ‘levo’ nyingine kwa sasa na wasanii wake ambao kipindi hicho wanaanza kusababisha walionekana ni ‘madogo lee’ nowdays wamepevuka na mawazo yao ni ya kiutu uzima, kamatia hii...
    (26 February 2010)
Views: 219 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Mkanada wa Uwoya awaliza Mastaa Dar

ijumaa  
Na Waandishi Wetu
Patric Ponce, raia wa Zambia mwenye makazi yake nchini Canada aliyedaiwa kutia miguu nchini kumsaka Nyota wa kike wa ‘industry’ ya filamu Bongo, Irene Uwoya ‘Mama Ndikumana’, amedaiwa kuwaliza mastaa, Ijumaa linakupa kitu kamili...
    (26 February 2010)
Views: 757 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

DAU WA NSSF APANDA ‘DAU’ UDOM

ijumaa  
DAU WA NSSF APANDA ‘DAU’ UDOM
Na Mwandishi Wetu
Ufanisi usio kifani wa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM unaofanywa na asasi ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii nchini NSSF, umempandisha dau Mkurugenzi wake, Dr. Ramadhani Dau...
    (26 February 2010)
Views: 399 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Ombaomba Dar bado wamsaka Joti

ijumaa  
Ombaomba Dar bado wamsaka Joti
Na Mwandishi Wetu
Pamoja na kugongwa na gari akiwa katika harakati za kuigiza tukio la mwanamke anayedaiwa kuota manyoya na kuyeyuka, mchekeshaji wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’, anasakwa na ombaomba wa Daraja la Selander ‘Salenda briji’, jijini Dar es Salaam...
    (26 February 2010)
Views: 936 | Maoni (8) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 42 43 44  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com