arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » ijumaa wikienda

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Cannavaro naye safiii U ...
» Richard milionea
» kamera yetu Wikienda
» ONYO!
» Niliishi kuzimu miaka i ...
» Hoyce Temu ndani ya ske ...
» Jahazi

 

RAY C: Mimi kwa Lord Eyez ni kama mbwa kwa chafu

ijumaa wikienda  
RAY C: Mimi kwa Lord Eyez ni kama mbwa kwa chafu
Na Mwandishi Wetu

Mwanamuziki anayefunika kwa mvuto wa kimahaba, sex, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameaminika hisia zake kuwa mapenzi yake kwa Mwana-Hip Hop kutoka Kundi la Nako 2 Nako Soldiers, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’ hayapimiki.
Ray C aliliambia Ijumaa Wikienda Jumamosi iliyopita kuwa kutokana na kukamatika kimahaba kwa mwana-Nako huyo, imefikia hatua anajiona yeye kwa Lord Eyez ni sawa na mbwa kwa chatu, kwani hata itokee nini, ‘akimmisi’ atamtafuta kwa udi na uvumba...

    (5 January 2009)
Views: 820 | Maoni (24) | Soma Zaidi

 

Mke aua sherehe

ijumaa wikienda  
Mke aua sherehe
Na Mwandishi Wetu

Afande Mstaafu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mugisha Peter aliuaga mwaka 2008 kwa balaa kubwa baada ya kushindwa kutinga ukumbini katika sherehe ya harusi yake kwa kuogopa kufumaniwa na mkewe ambaye alifunga naye ndoa halali Oktoba 6, 1979 (kopi tunayo)....



    (5 January 2009)
Views: 881 | Maoni (25) | Soma Zaidi

 

Mwaka umekwisha ndoa hizi: CHALI

ijumaa wikienda  
Mwaka umekwisha ndoa hizi: CHALI
Na Mwandishi wetu

Huku mwaka 2008 ukiwa umebakiza uhai wa siku mbili kuanzia leo, bado ni kilio miongoni mwa baadhi ya ndoa za mastaa ambazo mpaka sasa ziko chali...
    (29 December 2008)
Views: 1075 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

NI MKOSI: Orijino Komedi ni PROBLEM, soo la Channel Five bado kidonda kwao

ijumaa wikienda  
NI MKOSI: Orijino Komedi ni PROBLEM, soo la Channel Five bado kidonda kwao
Na Mwandishi Wetu

Wakati New Year ikiwa jirani, huku Kundi la Ucheshi la Orijino Komedi likizidi kujitanua kwenye Luninga ya Taifa (TBC1), hali ya mambo inaonesha kuwa wasanii wa ‘grupu’ hilo hawatousahau mwaka 2008...


    (29 December 2008)
Views: 590 | Maoni (10) | Soma Zaidi

 

Eti ili kuondoa nuksi: TID AOGA MAJI YA BAHARINI

ijumaa wikienda  
Eti ili kuondoa nuksi: TID AOGA MAJI YA BAHARINI
Mariam Mndeme na Amina Salim

Mwanamuziki ‘bitoz’ wa muziki wa Bongo Fleva ambaye hivi karibuni amekuwa huru kutoka kifungoni kwa ‘huruma’ ya Rais JK, Khaleed Mohamed 'TID' amedaiwa kuoga maji ya baharini kwa siku tatu mfululizo kwa kile kilichosemekana ni kuondoa mabalaa...
    (22 December 2008)
Views: 1114 | Maoni (21) | Soma Zaidi

 

Mama ‘ake Irene Uwoya azua tafrani

ijumaa wikienda  
Mama ‘ake Irene Uwoya azua tafrani
Na Waandishi Wetu

Mama wa Miss Tanzania, namba 5, 2006-2007, Irene Uwoya, mwishoni mwa wiki iliyopita alilianzisha timbwili la kufa mtu baada ya mwanae kutokomea kusikojulikana katika sherehe za siku yake ya kuzaliwa (Birthday)...

    (21 December 2008)
Views: 1391 | Maoni (22) | Soma Zaidi

 

Mchina afanyiwa tohara umasaini

ijumaa wikienda  
Mchina afanyiwa tohara umasaini
Na Mwandishi Wetu

Mrembo Aileen Francisco ameweka hostoria nchini kwa kuwa Mchina wa kwanza kufanyiwa tohara ambayo ni mila ya baadhi ya makabila barani Afrika, inayopigwa vita hivi sasa kwamba ni potofu...
    (15 December 2008)
Views: 2129 | Maoni (15) | Soma Zaidi

 

Aisha Madinda: NGONO INANIUA TARATIBU

ijumaa wikienda  
Aisha Madinda: NGONO INANIUA TARATIBU
Mariam Mndeme na Amina Salim

Mnenguaji mwenye ‘kismati’ cha kupendwa nchini, Aisha Mbegu ‘Madinda’, ametoa kile kinachoitwa kwa lugha ya Kiingereza My Confession (Kukiri Kwangu), baada ya kulitobolea gazeti hili kuwa, kinachomfanya awe hoi kitandani ni ngono...
    (15 December 2008)
Views: 3367 | Maoni (29) | Soma Zaidi

 

MBUNGE AFUNGUA ZIPI, AKOJOA ADHARANI

ijumaa wikienda  
MBUNGE AFUNGUA ZIPI, AKOJOA ADHARANI
Na Mwandishi Wetu, Mwanza

Katika tukio linalosherehesha usemi kwamba mtunga sheria ndiye mvunja sheria, Mbunge wa Buchosa (CCM), Samuel Chitalilo hivi karibuni, anadaiwa kubambwa akimwaga ‘kojo’ hadharani, hivyo kuidhalilisha ‘taito’ yake.
    (8 December 2008)
Views: 571 | Maoni (16) | Soma Zaidi

 

MCHAWI WA MENGI NI HUYU?

ijumaa wikienda  
MCHAWI WA MENGI NI HUYU?
Na Mwandishi Wetu

Lile sakata la mfanyabiashara nguli nchini, Reginald Abraham Mengi kupewa siku saba za kuweka hadharani uthibitisho wake kwamba kuna waziri ‘yanki’ wa awamu ya nne amepania kumfanyia mufilisi, limeingia sura mpya baada ya baadhi ya wananchi kusema waziri huyo amejitaja...
    (8 December 2008)
Views: 1808 | Maoni (24) | Soma Zaidi

 

Nasreem ni mwizi tu

ijumaa wikienda  
Nasreem ni mwizi tu
Na Mwandishi Wetu

Mrembo anayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Dunia (Miss World), 2008 yatakayofanyika Desemba 13, 2008 nchini Afrika ya Kusini, Nasreen Karim ametajwa kuwa ni mwizi wa mume za mtu kwa asilimia mia moja...
    (8 December 2008)
Views: 881 | Maoni (19) | Soma Zaidi

 

NDOA YA BINTI WA MRAMBA...

ijumaa wikienda  
HUZUNI
Baba anaumia maabusu keko, bintiye anafunga ndoa, pengo la baba laonekana wazi! Hata hivyo utata watawala harusi nzima

NDOA YA BINTI WA MRAMBA...
Na Mwandishi Wetu

Huzuni kubwa ilitawala kwenye familia ya aliyekuwa Waziri wa Fedha katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Basil Mramba Jumamosi iliyopita, kufuatia kigogo huyo kukosa ndoa ya binti yake, Aifena Mramba aliyeolewa na Evans Msiba ambaye ni mtoto wa bosi wa zamani wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), Aristablus Elvis Musiba...
    (1 December 2008)
Views: 1257 | Maoni (21) | Soma Zaidi

 

NYUMBA NDOGO KIDOGO EPA..

ijumaa wikienda  
Taaban
Mashitaka ya wizi yanayomkabili mista wake yampa uchizi, presha yamuweka pagumu, azimika baada y a kufakamia klaji kutuliza mawazo
NYUMBA NDOGO KIDOGO EPA..
Na Richard Bukos

Wakati hali ikiwa si shwari kwa washukiwa mbalimbali wa utafunaji wa noti za wananchi a.k.a mafisadi, mwanamke anayedaiwa kuwa ni nyumba ndogo ya mmoja wa watuhumiwa waliochota fedha za EPA yupo taaban...
    (1 December 2008)
Views: 1113 | Maoni (14) | Soma Zaidi

 

INSHU YA UFISADI 'Nyerere anateseka'

ijumaa wikienda  
INSHU YA UFISADI 'Nyerere anateseka'
Na Mwandishi Wetu

Wakati ‘ishu’ ya ufisadi, ikigeuka wimbo wa taifa Tanzania kutokana na kujizolea umaarufu mkubwa hivi sasa, mmoja wa viongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kiluteri (KKKT) Dayosisi ya Mashariki amesema kuwa hali ya mambo inayoendelea nchini inamtesa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere...
    (1 December 2008)
Views: 207 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

IMEFICHUKA: Hivi ndivyo Jaydee anavyomtesa mumewe Gadmer anamdhalilisha kama siyo mume wake.

ijumaa wikienda  
IMEFICHUKA: Hivi ndivyo Jaydee anavyomtesa mumewe Gadmer anamdhalilisha kama siyo mume wake.
Na Mwandishi Wetu

Ndoa ya muimbaji maarufu wa muziki wa Kizazi Kipya nchini, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ na mtangazaji wa Redio Clouds FM, Gadner Gabriel Fikirini Habash inadaiwa kushikiliwa na nyuzi moja tu kabla ya kukatika, imefichuka...
    (24 November 2008)
Views: 2781 | Maoni (28) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 14 15 16  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com