Na Imelda Mtema Staa wa filamu za Kibongo za I Regret na Binti Kimanzi, Mwanaidi Salum ‘Disma’ yupo taaban akiteseka kufuatia kusumbuliwa na ugonjwa wa moyo uliomvimbisha tumbo na miguu kiasi cha kushindwa kutoka kitandani, Ijumaa Wikienda linakwenda sanjari na wewe msomaji...
Milionea wa Big Brother Africa II, Richard Bezuidenhout.
Na Mwandishi Wetu Milionea wa Big Brother Africa II, Richard Bezuidenhout amechafuliwa na mtandao mmoja nchini Uganda ambao umeandika habari kwamba yupo mbioni kucheza video ya ngono...
Ni staa leo lakini jana alikuaje? Hii ni ‘untold story’ kuhusu mcheza filamu ‘The Cute One’, Aunt Ezekiel Grayson ‘Gwantwa’ kuwa hawezi kuusahau mwaka 2006...
Na Mwandishi Wetu Binadamu wanazidi kuota meno, wanaendelea kutenda mazito ambayo yanaweza kumstaajabisha hata Shetani! Hii inawahusu warembo wawili wa Kitanzania ambao wameshiriki shindano la kucheza uchi nchini Jamaica...
Na Mwandishi Wetu Mama Katumbo, Maunda Zorro, wiki iliyopita alianza kutambulika kama mama baada ya kujifungua mtoto wa kiume, Ijumaa Wikienda lina kitu kamili...
Na Richard Bukos Mwishoni mwa wiki katika Jiji la Dar es Salaam a.k.a Jiji la Kandoro starehe zimekuwa zikichukua nafasi kubwa sana huku kumbi nyingi za burudani zikifurika watu na yanayofanyika huko ni sawa na vurugu mechi...
Na Richard Bukos Mwanadada ambaye ni mshindi namba 2,2007 wa Shindano la Kimwana Manywele, Husna Idd ‘Sajent’, hivi karibuni alibainika kumtelekeza mwanae mwenye miezi nane nyumbani kwake Sinza, usiku kisha yeye kwenda kujirusha...
Musa Mateja na Richard Bukos Tukio la daktari mwenye kesi ya kumbaka mgonjwa wake, Paul Andrew kutunukiwa uchungaji wa kuliongoza kanisa, limetafsiriwa kuwa ni maajabu ya mwaka wa 2010, Ijumaa Wikienda lina A mpaka Z...
Na Mwandishi Wetu Vitendo vya ngono ya jinsia moja vinazidi kushika kasi, usagaji kwa upande wa ile ‘jenda’ ya wa-Beijing unazidi kupata umaarufu ndani ya jamii kutokana na ukweli kwamba, ‘waumini’ wengi wa ka-mchezo hako kasikofaa ni watu maarufu na wengine wana ushawishi mkubwa kijamii...
Na Mwandishi Wetu Mbunge wa Mvomero kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Suleiman Murad Sadiq anadaiwa kufanya madudu kwenye msiba unaomhusu Mwenyekiti wa Wazazi Mkoa wa Morogoro, Abdallah Mtinga...
Na Mwandishi Wetu Kuna kila dalili kwamba, Miss Tanzania 2006 ‘The History’, Wema Sepetu na Miss Tanzania 2009, Miriam Gerard wanashea ‘pepo’ mmoja anayewaongoza katika kutenda mambo yanayoonekana katika jamii si ya kawaida, Ijumaa Wikienda limechunguza kwa kina, sasa linashuka na data...
Video inaonyesha maojiano baina wa watoto wa babu seya na waandishi wa Global
Imelda Mtema na Richard Bukos Nguza Mbangu ‘Mashine’ na Francis Nguza ‘Chichi’ ambao ni watoto wa galacha wa muziki wa dansi nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’, hatimaye wamepasua jipu kuhusu maisha yao kwa kung’ata ya zamani, sasa na yajayo...
Na Imelda Mtema Wakati madai yake ya kupewa talaka yakishamiri kwa kasi, Miss Tanzania namba 5 2006-07, Irene Uwoya amesema kuwa yeye kuwepo kwake nchini ni kwa sababu ndiyo nyumbani kwao, pia ni kazini kwake katika fani yake ya filamu. Irene aliyasema hayo, alipokuwa akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu juzi (Jumamosi) ambapo kwa msisitizo, alisema kuwa atakuwepo Bongo kwa muda wa mwaka mzima...
Na Kyalaa Seheye Hatimaye mtangazaji wa kipindi cha miondoko ya Pwani kupitia Kituo cha Redio cha Magic FM, Mwanahamisi Bashir Mwenda a.k.a Mishi Bomba, anatarajia kufunga ndoa mwezi ujao na mwanaume ambaye kwasasa tunamuweka kapuni kwasababu maalum...
Na Mwandishi Wetu Watoto wa mwanamuziki maarufu nchini Nguza Viking almaarufu kama Babu Seya walioachiwa huru hivi karibuni na Mahakama ya Rufaa nchini, Nguza Mbangu ‘Mashine’ na Francis Nguza ‘Chichi’ wanaweza kuvuna mamilioni ya fedha iwapo watafungua kesi ya madai dhidi ya serikali na kushinda...