arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Jicho Letu Mtaani

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» HII NOMA !!!
» Haikuwa rahisi kupona
» Nizar, Mrwanda wamkuna ...
» IJUMAA WIKIENDA LA LEO ...
» Nilivyobakwa na baba ya ...
» Mnenguaji amdatisha mbu ...
» BALOZI WA ITALIA NCHINI ...

 

UZINDUZI WA TWANGA

Jicho Letu Mtaani  
UZINDUZI WA TWANGA Naibu Waziri wa Miundombinu, Dk. Milton Makongoro Mahanga akipewa CD yenye nyimbo mpya za African Stars baada ya kuinunua kwa shilingi 350000 wakati wa uzinduzi wa albamu ya Mtaa wa Kwanza jana Diamond Jubilee Dar. (Pix Issa Mnally na Catherine)
    (8 December 2007)
Views: 17 | Maoni (0) |

 

UZINDUZI WA TWANGA

Jicho Letu Mtaani  
UZINDUZI WA TWANGA Kama kawaida yake Mzee wa Farasi, Mzee wa Kijiko, n.k kuingia kwa staili ukumbini...jana aliingia hivi..
    (8 December 2007)
Views: 8 | Maoni (0) |

 

UZINDUZI WA TWANGA

Jicho Letu Mtaani  
UZINDUZI WA TWANGA Wanenguaji wa Twanga pepeta kazini...balaaa!
    (8 December 2007)
Views: 0 | Maoni (0) |

 

UZINDUZI WA TWANGA

Jicho Letu Mtaani  
UZINDUZI WA TWANGA Timu wa wanenguaji wa Twanga Pepeta!
    (8 December 2007)
Views: 19 | Maoni (0) |

 

UZINDUZI WA TWANGA

Jicho Letu Mtaani  
UZINDUZI WA TWANGA Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Jamal Rwambo akinenguliwa.
    (8 December 2007)
Views: 1047 | Maoni (0) |

 

NYAMAZA DADA LUCY

Jicho Letu Mtaani  
NYAMAZA DADA LUCY Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Lucy Kiwhele (kulia), akionekana kulia kwa furaha mara baada ya Richard Kutangazwa mshindi wa BBA II. Hii ilikuwa usiku wa kuamkia leo pale Coco Beach jijini Dar es salaam. Mtanzai Richard amefanikiwa kujinyakulia kitita cha dola za Kimarekani laki moja na anatarajiwa kurejea nchini Jumatano hii na kupokewa kwa kishindo. Habari zaidi fuatilia mtandao huu.(Picha na Abdallah Mrisho).
    (11 November 2007)
Views: 832 | Maoni (1) |

 

RICHARD AWAWEKA WATU ROHO JUU!

Jicho Letu Mtaani  
RICHARD AWAWEKA WATU ROHO JUU! Bi Furaha (kulia) afisa kutoka Multichoice Tanzania akiwa roho juu muda mfupi kabla ya kutajwa kwa Richard kama mshindi wa BBA mwaka huu. (picha na Abdallah Mrisho)
    (11 November 2007)
Views: 242 | Maoni (0) |

 

DIDA MCHOPANGA

Jicho Letu Mtaani  
DIDA MCHOPANGA Mtangazaji wa redio Times, Dida Mchopanga (kulia), mamaa mchops nae alikuwepo Coco Beach kushuhudia Richard akiutwaa Ubb A!
    (11 November 2007)
Views: 795 | Maoni (0) |

 

HAKUNA KULALA!

Jicho Letu Mtaani  
HAKUNA KULALA! Wajumbe wa mkutano Mkuu wakiserebuka. Usiku huu hakuna kulala wakati wajumbe na viongozi wa CCM wakichaguliwa mjini Dodoma.
    (4 November 2007)
Views: 381 | Maoni (0) |

 

CHOKI MAUNO

Jicho Letu Mtaani  
CHOKI MAUNO Ali Choki kwa mauno naye yumo..hii ilikuwa usiku wa kuamkia jana ukumbi wa Diamond Jubilee wakati wakizindua albamu yao ya Sisi ndo Sisi na Banza Stone...lakini shoo ilidoda kwa kukosa mashabiki!
    (4 November 2007)
Views: 689 | Maoni (0) |

 

SISI ND'O SISI

Jicho Letu Mtaani  
SISI ND'O SISI Banza Stone naye anayaweza jukwaani!!
    (4 November 2007)
Views: 419 | Maoni (0) |

 

KUHANGAIKA NA POZI

Jicho Letu Mtaani  
KUHANGAIKA NA POZIYaonekana Miss wetu alikua uncomfortable na nguo aliyokuwa amevaa...inakataa kuweka nne hapa...!
    (4 November 2007)
Views: 388 | Maoni (0) |

 

MTANGAZAJI MKONGWE WA ITV

Jicho Letu Mtaani  
MTANGAZAJI MKONGWE WA ITVAlbert Ng'itwa, Mtangazaji wa siku nyingi wa televisheni na redio nchini Tanzania
    (4 November 2007)
Views: 691 | Maoni (0) |

 

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MSIBA WA MBATIA

Jicho Letu Mtaani  

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MSIBA WA MBATIAMama Anna Mkapa Kushoto akimfariji Mme wa Waziri MbatiaPichani.

Baadhi ya viongozi wakiaga mwili wa marehemu Salome Mbatia.NaBaadhi ya Waombolezaj iwakiwa katika majonzi makubwa wakati wakiaga mwili wa marehemu nyumbani kwake Oysterbay Dar es salaam(Picha na Richard Bukos)
MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MSIBA WA MBATIA
Mkapa akimfariji Mme wa Waziri Mbatia
MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MSIBA WA MBATIA
waziri mkuu Mh Edward Lowasa na Katibu mkuu Mh Makamba ni
mniongoni wa viongozi wa serikali na Chama cha Mapinduzi
waliohudhuria msiba wa waziri Mbatia
MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MSIBA WA MBATIA
Aliekuwa Rais wa Tatu wa Jamhuri wa Muungani wa Tanzania Mh
Benjami William Mkapa,Rais wa Awamu ya pili wa Jamhuri wa Muungani wa Tanzania Mh alhaji Hassan Mwinyi na Rais wa
Zanzibar Mh Aman Abeid Karume.ni mniongoni wa viongozi wa
serikali na Chama cha Mapinduzi waliohudhuria msiba wa waziri Mbatia.
MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MSIBA WA MBATIA
MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MSIBA WA MBATIA
    (27 October 2007)
Views: 808 | Maoni (3) |

 

MSIBA

Jicho Letu Mtaani  
MSIBA
Pichani Baadhi ya viongozi wakiaga mwili wa marehemu Salome Mbatia.Mh spika wa Bunge Mstaafu Pius Msekwa Na Baadhi ya Waombolezaji wakiwa katika majonzi makubwa wakati wakiaga mwili wa marehemu nyumbani kwake Oysterbay Dar es salaam(Picha na Richard Bukos)
MSIBA
MSIBA
MSIBA
MSIBA
    (27 October 2007)
Views: 569 | Maoni (0) |
Back  <<  1 2  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Author: admin


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com