arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Pasua Jipu

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» CHANGIA MADA YA LEO
» John Woka:Fundi umeme a ...
» KUELEKEA AFRIKA KUSINI ...
» Pati Miss TZ
» Ze Comedy wameishiwa! h ...
» WIKI YA VITABU
» Babu Seya balaa tupu

 

2009, TUCHAPE KAZI KWA BIDII

Pasua Jipu  
Nianze kwa kumshukuru Mungu kutuwezesha kuwa na afya tena baada ya kutufikisha mwaka 2009.
Ndugu zangu, mwaka wa 2009 umeanza, majukumu na mipango kibao kuliko uwezo wetu. Nami naitumia kalamu yangu kwa mara ya kwanza katika safu hii kwa mwaka 2009, kujikumbusha machache lakini muhimu kwa mwaka wetu huu mpya. Naanza moja kwa moja....
    (6 January 2009)
Views: 19 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

MWAKA 2008 UMETUJERUHI, TUPATE TIBA 2009

Pasua Jipu  
Mwaka unakwisha, bado tuna viongozi wazembe na wabinafsi ambao kila kukicha wamekuwa wakishabikia kununua magari, samani za kifahari za ofisi za serikali, kununua ndege mbovu ambayo kukaa kwake angani kwa saa moja ni mamilioni ya shilingi...
    (30 December 2008)
Views: 34 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

TATIZO LETU LIPO KWENYE VIPAUMBELE!-2

Pasua Jipu  
Katika toleo lililopita nilianza kujadili matatizo mbalimbali yaliyokuwa yanatusibu enzi za utawala mkongwe wa wakoloni na jinsi leo tulivyoshindwa kuyakabili kutokana na kushindwa kung’amua vipaumbele.Endelea na sehemu ya pili ya makala hiyo....
    (23 December 2008)
Views: 32 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

TATIZO LETU LIPO KWENYE KIPAUMBELE!

Pasua Jipu  
Namshukuru Mungu.
Ndugu Watanzania wenzangu, Jumanne iliyopita ilikuwa ni siku ya maadhimisho ya miaka 47 tangu nchi yetu ipate Uhuru wake, ilikuwa ni wikiendi ndefu sana kwa Watanzania kwani iliambatana na sikukuu ya Idd ambayo nayo ilileta mapumziko. Watu wengi sana tulifurahia kupata muda mrefu wa kutokuwepo kazini, huu ndio utamaduni wetu, kupenda kupumzika kuliko kufanya kazi kwa nguvu! Rafiki yangu mmoja aliwahi kusema ni katika nchi hii ndipo watu wanaweza kushangilia umeme ukikatika kiwandani ili wapate kupumzika. Jambo la kusikitisha...
    (15 December 2008)
Views: 34 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

MIAKA 47 YA UHURU, TUWAKUMBUKE WAASISI WA TAIFA HILI NA LENGO LAO

Pasua Jipu  
Awali ya yote kama ilivyo ada tumshukuru Mungu kwa kutuweka tukiwa na afya njema hadi leo hii tunapotafakari na kufurahia Uhuru wetu....
    (9 December 2008)
Views: 25 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Nani aseme ukweli juu ya ubakaji wa Ofisi za Umma na Rasilimali zetu?

Pasua Jipu  
Nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu ambaye aliniumba na kunipa uwezo wa kuandika haya ninayokusudia kuyaandika leo....
    (2 December 2008)
Views: 48 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

VIJANA WETU WANA RASILIMALI NYINGI, WAMESHINDWA KUZITUMIA

Pasua Jipu  
Nianze kwa kumshukuru Mungu aliyeumba mbingu na nchi. Hakika Mungu ni mwema.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema naikumbulka falsafa moja isemayo kuwa mtu mshamba akimwagiwa mapesa mengi kupitia rasilimali alizonazo basi kwa ushamba wake hubadilika na kuwa limbukeni. Ni hatari kubwa kwao na vizazi ijayo...
    (24 November 2008)
Views: 66 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

WAAFRIKA TUNAWEZA, TUAMKE SASA

Pasua Jipu  
Kwanza nimshukuru Mungu kwa kunipa uhai na uwezo wa kuandika haya leo.
Ndugu zangu kwa kawaida asili ya binadamu ni kubadilika kulingana na mazingira anayokuwa anaishi,kwa maana kwamba anapaswa kuyafahamu na kuzijua changamoto mbalimbali zinazokuwa zinamkabili....
    (11 November 2008)
Views: 73 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Hata kama tuna tofauti zetu bado sisi ni Watanzania!

Pasua Jipu  
Naipenda nchi hii, Mungu shahidi yangu, kama vile ambavyo kuna mamilioni ya watu wengine wanaoipenda na ni Wazalendo wa kweli, walio tayari kupigana mpaka hatua ya mwisho kuhakikisha nchi yao inasonga mbele na amani wanayojivunia haipotei! Nchi hii ninayoipenda inaitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, si Tanganyika wala Zanzibar. Ina jumla ya watu milioni 39, watu hawa wanazo tofauti zao, Kidini, Kiuchumi, Kisiasa, Kikabila na mambo mengine mengi ya kufanana na hayo, lakini pamoja na tofauti hizo watu wote hawa kwa ujumla wetu tunajivunia jina moja tu; WATANZANIA....
    (4 November 2008)
Views: 64 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

UJUMBE WA SHIGONGO KWA WAFUNGWA NCHINI!: Mnaweza kubadili historia

Pasua Jipu  
Baada ya kuhangaika kwa muda wa miaka mitatu (aliyekuwa Mkuu wa Magereza nchini Nicas Banzi anafahamu) hatimaye majuzi Oktoba 14, 2008 nilipata nafasi niliyokuwa nikiitafuta kwa muda mrefu; ya kuongea na ndugu zetu waliopo magerezani, yaani wafungwa na mahabusu, shukrani nyingi sana ziwaendee Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.Lawrence Masha na Mkuu wa Magereza nchini Augustone Nanyaro kwa kutoa kibali kwa jambo hili jipya na geni kabisa kutokea nchini mwetu katika historia ya Magereza...
    (21 October 2008)
Views: 226 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Iwapo jamii itapoteza imani kwa mahakama zetu, amani itapotea

Pasua Jipu  
Leo ni siku ya kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kamarage Nyerere na katika kuienzi siku hii sisi kama Global Publishers tutakuwa katika Gereza la Ukonga huku tukisisitiza amani na haki kudumishwa. Mwalimu Nyerere alikuwa mpenda haki na alikuwa akisema wazi kwamba mahakama zitende haki...
    (14 October 2008)
Views: 65 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

WATABORA WANALIA, WATANZANIA TUNALIA SABABU KUU NI UZEMBE!

Pasua Jipu  
Nianze makala haya kwa kumuomba Mungu azidi kunijalia afya njema na afanye hivyo pia kwa wewe mpenzi msomaji unayenisoma. Nakukumbusha tu kwamba kila siku moja ikiisha elewa kwamba huo ni upendeleo pekee ambao Mungu amekupa, huna budi kumshukuru kwa hilo na ndiyo maana mimi nimeeanza kwa kumuomba anijalie afya ili siku zangu zizidi kuwa nyingi....
    (7 October 2008)
Views: 120 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

NI WAKATI WA KUWAPIMA VIONGOZI WETU KABLA YA UCHAGUZI MKUU UJAO

Pasua Jipu  
KWANZA nimshukuru Mungu kwa kunipa uhai na afya njema nikiamini pia wewe msomaji wa safu hii una afya njema kufanya shughuli zako za kila siku.

Wiki hii niwakumbushe kidogo hotuba ya mzee Benjamin Mkapa aliyoitoa Agosti 25, mwaka 2004, kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu uliomwingiza Rais Jakaya Kikwete na wenzake madarakani, mstaafu huyo wakati huo alikuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, alitoa moja ya hotuba kali kabisa....
    (30 September 2008)
Views: 101 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Marafiki walimsaidia Kikwete mwaka 2005 kutimiza ndoto, sasa anahitaji maadui!

Pasua Jipu  
Namshukuru Mungu,
Yeye ni mwema,
Na siku zote nitalisifu na kulihimidi jina lake, kwani ndiye aliyenifanya kufika hapa nilipo na sina cha kufanya kumshukuru zaidi mimi kumwakilisha duniani kwa kuwasaidia wengine kusimama. Mungu nisaidie kulifanya hili kwa uaminifu...
    (23 September 2008)
Views: 178 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mheshimiwa Rais, wakati umefika kuwathamini watu ambao vitendo vyao vimeboresha maisha yetu!-2

Pasua Jipu  
Inatoka toleo lililopita
Hapa nyumbani mambo ni tofauti, tukiongelea Uhuru wa Tanzania, tunawaongelea kina Hayati Mwalimu Nyerere, mzee Rashid Kawawa na wenzao, tumesahau kabisa kwamba kuna wazee waliopata vilema, waliofilisiwa mali zao, waliopoteza ndugu zao sababu ya uhuru huo ambao hivi sasa wanateseka na maisha kama vile hawakutoa mchango wowote, tunachofanya ni kuthamini Marubani ambao ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na wenzake na kuwaacha waongoza ndege ambao bila wao ndege yetu ya Uhuru isingeacha ardhi!...
    (16 September 2008)
Views: 78 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 4 5  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com