Tembelea... |
 |
Kalenda |
 |

Marafiki wetu |
 |
Habari Zilizopita |
 |



  
| |
 |
|
Hata kama tuna tofauti zetu bado sisi ni Watanzania!
|
Pasua Jipu |
|
|
 |
Naipenda nchi hii, Mungu shahidi yangu, kama vile ambavyo kuna mamilioni ya watu wengine wanaoipenda na ni Wazalendo wa kweli, walio tayari kupigana mpaka hatua ya mwisho kuhakikisha nchi yao inasonga mbele na amani wanayojivunia haipotei! Nchi hii ninayoipenda inaitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, si Tanganyika wala Zanzibar. Ina jumla ya watu milioni 39, watu hawa wanazo tofauti zao, Kidini, Kiuchumi, Kisiasa, Kikabila na mambo mengine mengi ya kufanana na hayo, lakini pamoja na tofauti hizo watu wote hawa kwa ujumla wetu tunajivunia jina moja tu; WATANZANIA.... |
|
 |
|
|
 |
Kura Yako / Poll |
 |
Habari Katika Picha |
|
 |

Nani Yupo / Alikuwepo |
 |
|