arrowMake Homepage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » photos

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Picha Ya Week ...

Nani Yupo / Alikuwepo

{banner_right_banner}

 


 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» JOYCE KIRIA: Nimekula uroda ...
» SIRI YAFICHUKA
» AIBU YA KARNE
» WAUAWA KIKATILI!
» MWANAFUNZI CHUO KIKUU ALIVY ...
» NDOA YA MSANII ALIYEKATWA M ...
» Miss achomwa nyeti kwa pasi
» ‘Sigara zitamuua Bi. Ki ...
» NI NZURI SANA
» Maimatha, Ben
» Mkapa, waziri wake waan ...
» Mrembo amfanyia kitu mb ...
» HIVI NDIVYO TULIVYOTEND ...
» Wambura, Malinzi kukaan ...

 

IFM KIDEDEA MISS HIGHER LEARNING

photos  
Chuo cha Usimamizi wa fedha cha IFM cha jijini Dar, kimeibuka kidedea katika Shindano la kumsaka mlimbwende wa Vyuo Vikuu nchini, Miss Higher Learning, baada ya Mwanafunzi wa chuo hicho, Betrice Lukindo, kutwaa taji hilo usiku wa kuamkia leo.
Wakati Betrice akibatizwa umalkia wa Vyuo Vikuu nchini, Linda Mzinga kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama amechukua nafasi ya pili na Doris Donatus kutoka Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) akiibuka mshindi wa tatu.
Kwa ushindi huo, Magreth amepata tiketi ya moja kwa moja ya kujiunga na Kambi ya Miss Tanzania msimu huu, tayari kwa kuwania taji la Miss Tanzania, 2009/10.
Shindano hilo lilifanyika ndani ya viunga vya Karimjee katikati ya jiji la Dar es Salaam, lililosababishwa kwa udhamini mkubwa wa Mtandao wa simu za mkononi wa Vodacom, Global Publishers Ltd, Clouds FM, Ndege Insuarance, kinywaji cha Overmeer na wadhamini wengine kibao.

IFM  KIDEDEA MISS HIGHER LEARNING
Miss Vodacom Higher Learning 2009/10, Betrice Lukindo (katikati) akiwa katika picha ya pozi na mshindi wa pili, Linda Mzinga (kulia) na kushoto ni Doris Donatus, mshindi wa tatu.

IFM  KIDEDEA MISS HIGHER LEARNING
Hii ndiyo ilikuwa Top 5.

IFM  KIDEDEA MISS HIGHER LEARNING
Majaji, kutoka kushoto ni Miss Tanzania mwaka juzi , Jokate Mwegelo, Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga ‘Anko’ na Miss Tz mwaka jana, Nasreen Mohamed, wakiwa makini kutazama warembo (hawapo pichani).

IFM  KIDEDEA MISS HIGHER LEARNING
Warembo wakicheza staili ya Mugongo Mugongo jukwaani baada ya kupanda kwa mara ya kwanza.

IFM  KIDEDEA MISS HIGHER LEARNING
Kundi la sanaa la International Youth Ferowship, likikonga nyoyo za wadau wa urembo kwa ngoma ya kichina kabla ya mrembo kutangazwa.

IFM  KIDEDEA MISS HIGHER LEARNING
Wanenguaji wa bendi ya muziki wa dansi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ wakivamia jukwaa wakati wa shindano hilo.

IFM  KIDEDEA MISS HIGHER LEARNING
Nani amesema wanenguaji siyo masister Duu? Hawa mamiss ila ni wanenguaji wa Twanga wakiwa chobingo wakijipodoa kwa ‘Mapouda’

IFM  KIDEDEA MISS HIGHER LEARNING
Staa wa Kundi la ucheshi la Orijino Komed ‘Masanja Mkandamizaji” akiinama kukwepa kamera baada ya kubambwa ukumbini hapo akishuhudia mchuano mkali wa walimbwende hao.
PICHA:CHRISTOPHER LISSA/GPL
    (4 July 2009)
Views: 15 | Maoni (2) |

 

MBILI ABEL APAGAWISHA DAR

photos  
Usiku wa kuamkia leo mkongwe wa muziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mbili Abel alifanya makamuzi ya kufa mtu katika onesho lililofanyika Ukumbi wa Police Oficers Mess Oysterbay, jijini Dar es Salaam. Katika onesho hilo mwanamuziki huyo alisindikizwa na ‘Wazee Sugu’ The Akapitale Band chini ya mkongwe, Kikumbi Mwanza Mpango 'King Kikii'

MBILI ABEL APAGAWISHA DAR
Mbili Abel akifanya majambozi jukwaani

MBILI ABEL APAGAWISHA DAR
Hapa akiserebuka na wacheza shoo wake

MBILI ABEL APAGAWISHA DAR
Mashabiki wakichizika na vibao vilivyowahi kutamba enzi hizo

MBILI ABEL APAGAWISHA DAR
Wazee Sugu wakipagawisha na kitambaa cheupeee... Ishara ya upendo

MBILI ABEL APAGAWISHA DAR
Mashabiki wakichizika kwa kibao cha Wazee Sugu, ‘kitambaa cheupe’
PICHA: RICHARD BUKOS /GPL
    (4 July 2009)
Views: 11 | Maoni (1) |

 

WASAILIWA WA 'TEARS ON VALENTINE' WAFURIKA OFISI ZA TOLLYWOOD MOVIES

photos  
Wasanii waliochukua fomu za kushiriki kucheza filamu ya Tears on Valentine leo tena wameendelea kufurika katika Ofisi za Tollywood,zilizopo Sinza Bamaga, jijini Dar es Salaam tayari kwa kufanyiwa usaili.
Mkurugenzi wa filamu hiyo, Hammie Rajab, ambaye pia ni mmoja wa majaji, amesema kuwa kila kukicha wasanii wamekuwa wakijitokeza kwa wingi hivyo kuwapa wakati mgumu wa kuwafanyia usaili kulingana na ratiba.
Aliendelea kusema kwamba mbali na hilo, wamekuwa pia wakishangazwa na uwezo mkubwa wa washiriki hao kwani kila mmoja anaonekana kuwa na kipaji hicho ukizingatia kuwa, wengi wao hajawahi kucheza filamu hata mara moja.

WASAILIWA WA 'TEARS  ON VALENTINE'  WAFURIKA  OFISI ZA TOLLYWOOD MOVIES
Wasanii wakisubiri kuingia ndani ya ofisi za Tollywood kwa ajili ya usaili.

WASAILIWA WA 'TEARS  ON VALENTINE'  WAFURIKA  OFISI ZA TOLLYWOOD MOVIES
Waliokaa mezani kutoka kulia ni Hammie Rajab, Mkurugenzi wa Filamu hiyo na kushoto kwake ni Jaji Joseph Shaluwa wakiwatwanga maswali washiriki hao.

WASAILIWA WA 'TEARS  ON VALENTINE'  WAFURIKA  OFISI ZA TOLLYWOOD MOVIES
Cleopatra 3, mwenye sketi nyeupe, akiwa kwenye moja ya majaribio ya shughuli hiyo na Anither Tibigenda (anayemnyoshea kidole) Kushoto ni Debora Sanga mmoja wa majaji wa Tollywood Movies.
Picha zote:Musa Mateja/GPL.
    (3 July 2009)
Views: 15 | Maoni (1) |

 

NDANO YA VIUNGA VYA ZIFF

photos  
NDANO YA VIUNGA VYA ZIFF

NDANO YA VIUNGA VYA ZIFF
Global Publishers na The Atriums Hotel ni miongoni mwa kampuni zinzoshiriki katika Tamasha la nchi za Jahazi (ZIFF) mjini Zanzibar na banda la kampuni hiyo ni miongoni mwa mabanda kadhaa yaliyomo Ngome Kongwe kueleza shughuli zao.
PICHA: IMELDA MTEMA/GPL ZANZIBAR
    (2 July 2009)
Views: 7 | Maoni (0) |

 

WEE ‘LENA’, LESENI UNAYO?

photos  
WEE ‘LENA’, LESENI UNAYO?
Bibi wa Kidosi akikatiza mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na baiskeli yake yenye alama ya ‘Learner’ (Lena) (L) ambayo inaashiria kwamba anajifunza kuendesha baiskeli hiyo. Hata hivyo haikuweza kufahamika mara moja kama mama huyo alikuwa amekata leseni hiyo ya ‘Learner’ au ni mbwembwe tu.

ARRRROOO... SOONGA MBERRREEE
WEE ‘LENA’, LESENI UNAYO?
Mgambo wa Jiji akimpeleka puta kijana aliyedaiwa kuwatapeli watu maeneo ya Posta ya Zamani jijini Dar es Salaam, kwa kujifanya anawauzia aina mpya ya mitego ya panya. Hata hivyo baadaye aligundulika kuwa tapeli, kwani mitego hiyo iligundulika kuwa feki.

HUU NI UNYAMA!
WEE ‘LENA’, LESENI UNAYO?
Mkazi huyu wa jiji la Dar es Salaam (pichani) akiinuliwa na wasamaria wema baada ya kupoteza fahamu maeneo ya Posta Mpya leo mchana kwa kile kilichoelezwa kuwa alilishwa dawa za kulevya na watu wasiojulikana. Tathmini ya mambo aliyofanyiwa haikuweza kupatikana mara moja kutokana kushindwa kujieleza.

WEE ‘LENA’, LESENI UNAYO?
Kijana huyo akiwa amebebwa mgongoni kupelekwa sehemu ya usalama.

KWA MTAJI HUU TAKA ZITAISHA?
WEE ‘LENA’, LESENI UNAYO?
Gari la kuzoa taka la kampuni ya Sincon Environment Ltd likiwa limezidiwa na mzigo wa takataka wakati zoezi la uzoaji taka katika Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam leo mchana.

WAKENYA NAO WAVUVI HARAMU!
WEE ‘LENA’, LESENI UNAYO?
Wakenya watatu wanaokabiliwa na tuhuma za uvuvi haramu wakiwa na raia wengine wa kigeni wenye asili ya kichina wakisuburi hatma ya dhamana yao katika kesi ya uvuvi haramu inayowakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Ishu ya dhamana bado haijafanikiwa. Kesi hiyo itatajwa tena mahakamani hapo Julai 15 mwaka huu.
PICHA:RICHARD BUKOS NA CHRISTOPHER LISSA /GPL
    (2 July 2009)
Views: 5 | Maoni (0) |

 

UK DVD LAUNCH: AS OLD AS MY TONGUE: the myth and life of Bi Kidude

photos  
UK DVD LAUNCH: AS OLD AS MY TONGUE: the myth and life of Bi Kidude
If you are lucky enough to be anywhere near London's Southbank on Tuesday 7th July 2009 - you might like to catch the DVD launch of an award winning film about Bi Kidude. In two years since it’s début screening, our intimate portrait of Swahili legend Bi Kidude has won friends and awards around the world. It is at the National Film Theatre NFT2 at 6:20pm and will be introduced by director Andy Jones.
    (2 July 2009)
Views: 13 | Maoni (0) |

 

BBC Radio 3 - Samba Mapangala at Sauti za Busara 2009

photos  
BBC Radio 3 - Samba Mapangala at Sauti za Busara 2009
If you are lucky enough to hear BBC Radio 3 - then don't miss a special programme recorded during Sauti za Busara 2009 about
SAMBA MAPANGALA. It will be broadcast on Saturday 4th July 2009 at 3pm (UK time) - and also available from their archive for a week.
More details at [url=http://www.bbc.co.uk/radio3]www.bbc.co.uk/radio3
    (2 July 2009)
Views: 6 | Maoni (0) |

 

MTAANI LEO

photos  
MTAANI LEO
Wazungu hawa hawakuona tabu kuburuza begi laola nguo na kukatiza mitaa ya jiji la Dar es salaam kama walivyonaswa na kamera yetu leo mitaa ya Sokoine.

MTAANI LEO
Kufuatia Tangazo la Halmashauri ya Jiji la Dar la kuwataka wamiliki wa majengo kulipia kodi ZA MAJENGO, hivi sasa kumekuwepo misululu mirefu katika ofisi za TRA, karibu kila tawi.

MTAANI LEO
..Manati mjini hutumika kuwindia nini? Kijana akipita kwenye rodi akijiuzia manati yake!

MTAANI LEO
Unaweza usiamini, lakini anayeingia ndani ya gari hii ni Mohamed Mpakanjia kama alivyokutwa na mpiga picha wetu mitaa ya Magomeni Mapipa alipokuwa akiongea na pedeshee mwenzie Papa Msofe.

PICHA: ISMAIL MANG'OLA/GPL

    (1 July 2009)
Views: 226 | Maoni (5) |

 

TOLLYWOOD TAYARI KWA USAILI

photos  
Kufuatia matangazo yaliyokuwa yakitolewa na kuchapishwa kwenye magazeti mbalimbali ya Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises yaliyohusiana na kuomba nafasi ya kushiriki kucheza filamu yaTears On Valentine Day, hatimaye usaili kwa ajili ya kuwapata wasanii watakaofaa kuigiza katika filamu hiyo umeanza katika ofisi za Tollywood zilizoko Sinza Bamaga, jijini Dar es Salaam. Katika usaili huo, waombaji kibao wamejitokeza kama wanavyoonekana pichani.

TOLLYWOOD TAYARI KWA USAILI
Wasanii wakiwa nje ya ofisi za Tollywood wakisubiri zamu yao kufanyiwa usaili.

TOLLYWOOD TAYARI KWA USAILI
Washiriki wakiwa ndani ya ofisi hizo kwa pamoja wakiteta jambo muda mfupi kabla ya kufanyiwa usaili.

TOLLYWOOD TAYARI KWA USAILI
Mratibu wa shughuli hiyo, Hammie Rajab na msaidizi wake, Deborah Sanga wakimfanyia usaili mshiriki
Picha zote:Musa Mateja/GPL
    (1 July 2009)
Views: 72 | Maoni (4) |

 

TANGA NA BAISKELI!

photos  
TANGA NA BAISKELI!
Katika jiji Dar es Salaam utakuta Bajaji nyingi zikisubiri abiria kwenye vituo vya usafiri, lakini kwa jiji la Tanga, Baskeli ndio utakuta zimejaa katika vituo mbalimbali zikisubiri abiria. Baskeli zikiwa zimepaki katika kituo kikuu cha mabasi mjini Tanga zikisibiri abiria, usafiri wa bakeli maarufu kwa jina la Bodaboda, zinabeba abiria kwa safari za mjini kati ya shilingi 200 hadi 500. hata wasiwasi.

PICHA: ISSA MNALY/GPL
    (30 June 2009)
Views: 12 | Maoni (0) |

 

ZIFF YAPAMBA MOTO

photos  
ZIFF YAPAMBA MOTO
Tamasha la Nchi za Jahazi (ZIFF) linalofanyika visiwani Zanzibar, limepamba moto, leo ikiwa ni siku yake ya 4. Burudani zinazendelea kutoka kwa wasanii mbalimbali, kama vile THT yenye wasanii mahiri kama Barnabas (pichani juu) anayetamba na wimbo wake wa Njia Panda pamoja na Mwasiti (pichani chini) ambaye alimchengua Mzungu mmoja na wimbo wake wa Nalivua Pendo na kupagawa kama anavyoonekana pichani chini.
ZIFF YAPAMBA MOTO

ZIFF YAPAMBA MOTO

ZIFF YAPAMBA MOTO

ZIFF YAPAMBA MOTO

PICHA: IMELDA MTEMA/GPL - ZANZIBAR
    (30 June 2009)
Views: 19 | Maoni (4) |

 

VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA VIJANA!

photos  
VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA VIJANA!
Maadhimisho ya kupiga vita Madawa ya kulevya duniani yameadhimishwa Bongo na yamewahusisha vijana mbalimbali kwa kuwapima kama kweli hawatumii madawa hayo (Bangi na unga) pamoja na madawa mengine yanayoathiri maisha yao, hapa baadhi ya vijana wa Mwembe Yanga Temeke wakishiriki mchezo wa kukimbiza kuku na aliyemkamata ilikuwa ni zawadi yake.

VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA VIJANA!
...Jamaa wafurahia kuku wao na kutoka nduki

VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA VIJANA!
...mabinti nao hawakuachwa nyuma katika mbi za kuku

VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA VIJANA!
Ni kama anasema: nani kasema mboga hamna, cheki bonge la mjogoo huu, siamini kama siku ya leo na mimi narudi nyumbani na kitoweo cha kuitosheleza familia yangu, hata kama tuko kumi, lazima atatosha tu.

VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA VIJANA!
Waandaaji wa Tamasha la kupiga vita madawa ya kulebya wakitafakari jambo mara baada ya washiriki wa zoezi hilo kuondoka na kuku bila kuruhusiwa huku Afisa Elimu kata ya Tandika akishuhudia mtanange huo.

VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA VIJANA!
Afisa Elimu kata ya Tandika Bi. Beatrice Nyangu, Afisa Elimu kata ya Tandika, akiwashuhudia jinsi vijana wanavyopambana na upigaji vita nadawa ya kulevya katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar Es Salaam leo.
PICHA NA ISMAIL MANG’OLA / GPL.
    (29 June 2009)
Views: 10 | Maoni (0) |

 

MTAANI KWETU!

photos  
LAZIMA WATOKE WANANGU
MTAANI KWETU!
Produza wa Studio ya Bion 2 Records iliyopo Tabata Bima jijini Dar Es Salaam anayekwenda kwa jina la Kaju, akiwa katika harakati za kukamilisha moja ya kazi za wasanii wa kizazi kipya ambao wamekuwa wakifabyia kazi zao katika studio hiyo, Prodiza huyu ni mmoja wa maproduza wadogo kiumri kiliko maproduza wengine hapa nchini lakini uwezo alionao ni heshima.

UJENZI STENDI KUU YA SEGEREA
MTAANI KWETU!
Mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wakikarabati Stendi Kuu ya mabasi katika Kituo cha daladala Segerea, stendi hiyo inelekea ukingoni kukamilika ambapo magari yatakuwa yakitumia kwenda Ubungo bila kupitia Barabara ya Mandela ambako yataunganisha hadi Mbezi, Kibaha na kuendelea. Inaaminika kuwa usafiri huo utawasaidia kwa kiasi kikubwa wananchi wa maeneo hayo na kuondoa adha ya foleni za mara kwa mara.

ZAMANI WALIKUWA HAWAFUGIKI
MTAANI KWETU!
Licha ya kuwepo nguo aina ya Khanga, jina hilo limetokana na ndege hawa ambao wanarangi nzuri ambayo imezaa jina ya nguo ambayo ni nguo ya heshima. Zamani ndege hawa walikuwa hawafugiki kama ilivyo hivi sasa.

WE KAKA WEEE MBONA UNAJITAFUTIA MAKUU?
MTAANI KWETU!
Jamaa huyu hakika alitaka kujitafutia mambo makubwa, eti anakimbizana na Bajaj ili kuokota kipande cha Muhogo alichorushiwa na jamaa waliokuwa kwenye Canter, alikuwa akikimbia hovyo bila kuangalia usalama wake.

MTAANI KWETU!
...Ameridhika na vipande vyake viwili vya muhogo….
PICHA NA ISMAIL MANG’OLA / GPL.
    (29 June 2009)
Views: 16 | Maoni (1) |

 

Picha za mwisho, Saa sita kabla ya kifo cha Profesa Haroub

photos  
Picha za mwisho, Saa sita kabla ya kifo cha Profesa Haroub
Na Imelda Mtema, Zanzibar
Wakati Waislamu nchini wakiomboleza kifo cha Kaimu Mufti, Sheikh Suleiman Gorogosi, Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Haroub Othman naye amefariki dunia ghafla akiwa usingizini katika Hoteli ya Abuso, mjini Zanzibar usiku wa kuamkia jana.

Picha za mwisho, Saa sita kabla ya kifo cha Profesa Haroub

Picha za mwisho alizopigwa marehemu Profesa Haroub (kushoto) na Mwandishi Wetu saa sita usiku wakati akiwa katika sherehe za uzinduzi wa ZIFF, ikiwa ni takriban saa sita kabla ya kifo chake. Hapa alikuwa akiongea na Profesa mwenzie ambaye ni Waziri wa Afya wa Kenya, Prof. Peter Anyang’ Nyongo.
    (29 June 2009)
Views: 279 | Maoni (2) | Picha Zaidi

 

HII NDIYO TATU BORA YA MISS DAR CITY CENTRE!

photos  
HII NDIYO TATU BORA YA MISS DAR CITY CENTRE!
    (28 June 2009)
Views: 65 | Maoni (4) |
Back  <<  1 2 3 ... 125 126 127  >>  Next Page

Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com