Mtangazaji mwenye jina kubwa nchini, Maimartha Jesse, ameanika siri za usagaji pamoja na kuyataja makundi ya wanawake wanaojishughulisha na ‘kamchezo’ hako kachafu...
Katika kipindi cha mwaka 2008 uliomalizika hivi karibuni, baadhi ya Warembo hapa nchini wametajwa kufanya vibaya katika fani hiyo ya ulimbwende kwa kuhusishwa na kashfa mbalimbali katika mwaka uliopita...
Kundi la vichekesho la Orijino Komedi, hivi karibuni limesababisha wizi mtupu katika mitaa ya Kariakaoo jijini Dar es Salaam, baada ya wasanii wawili Emanuel Mgaya ‘Masanja’ na Lukas Mhuvile ‘Joti’ kusababisha kizazaa, ambapo watu walilizwa kwa kuporwa mali zao...
Mfanyabiashara maarufu nchini Mohamed Mpakanjia ‘Meddy’, ambaye hivi karibuni alikaririwa akisema amemtema mkewe, Aisha Bui, sasa anadaiwa kumnasa msanii wa maigizo katika Kundi la Sanaa la Kaole, Koleta Raymond,Risasi limedokezwa...
Lile sakata la tuhuma za wizi lililokuwa likiwakabili warembo wawili waliowahi kushika nafasi za juu katika fani ya urembo nchini, Nancy Sumary na Irene Kiwia, limechukua sura mpya baada ya kushindwa kutoa mikataba walioitumia katika kuandaa shindano la Miss Kisura lililofanyika jijini Dar es Salaam, mwezi Machi, mwaka huu...
Kitendo cha washiriki wa Miss Kisura kunyimwa zawadi zao baada ya kumalizika kwa shindano hilo lililoandaliwa na warembo wawili waliowahi kushika nafasi za juu katika fani ya urembo nchini, Irene Kiwia na Nancy Sumary kimetajwa kuwa ni wizi...
Mfanyabiashara maarufu jijini Dar, Said Salim ‘Bakhresa’ yu hoi kwa presha kufuatia kiwanda chake kilichopo Tazara jijini kuteketea kwa moto uliomsababishia hasara ‘vijisenti kibao’....
Na Elvan Stambuli Kufua ishu ya kumfanya ombaomba ‘Matonya’, Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi amebanwa na serikali kwa kupewa siku saba ili athibitishe madai yake kuwa kuna waziri mmoja kijana wa serikali anayemuhujumu ili afilisiwe....
Amina Salim na Mariam Mndeme Miss Ruvuma namba moja 2006, ambaye alibahatika kuingia kumi bora katika kinyang’anyiro cha kumsaka Miss Tanzania, Isabela Mpanda amemuibia Mzungu (Mtasha) kiasi cha dola za Kimarekani 1,800, sawa na shilingi milioni 2 za kitanzania....
Na Mwandishi Wetu Golikipa namba moja wa Timu ya Simba ya Dar es Salaam, Amani Simba Juzi (Alhamis) alitumia ubabe kwa kumpiga na kumpora kamera mwandishi wetu baada ya kupigwa picha akijirusha na Jamila Hassan ambaye anadaiwa kuwa aliwahi kuwa demu wa golikipa wa Yanga Juma Kaseja...
Katika hali ya kushangaza, wavunja mbavu wa Kundi la Ucheshi la Orijino Komedi walikamatwa na kushikiliwa kwa muda na Polisi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam baada ya kutinga mahakamani hapo kwa nia ya kuwaigiza mawaziri wa awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona...
Wakati sakata la wanafunzi wa vyuo vikuu kugoma kuishinikiza serikali kubadilisha sera ya mikopo kwa vyuo vya elimu ya juu nchini halijatulia, wasomi watatu wa chuo kikuu kimoja maarufu nchini (jina linahifadhiwa), wamepiga picha chafu na kutundikwa mtandaoni...
Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Zitto Kabwe hivi karibuni alinusurika kutupwa rumande katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, baada ya kuvamia watuhumiwa wa kesi ya EPA na kuanza kuongea nao wakati mahakama ikiendelea...