arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » risasi jumamosi

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Mume amkata mkewe
» MY DEAR CLEOPATRA - 53
» Iam back from hell - N ...
» ORODHA YA BARAZA JIPYA ...
» Manji awasha moto Yanga ...
» (SIMULIZI LA CHUMBANI) ...
» Tunatakiwa tufanye hivi ...

 

USAGAJI

risasi jumamosi  
USAGAJI
Mariam Mndeme na Amina Salim

Mtangazaji mwenye jina kubwa nchini, Maimartha Jesse, ameanika siri za usagaji pamoja na kuyataja makundi ya wanawake wanaojishughulisha na ‘kamchezo’ hako kachafu...
    (3 January 2009)
Views: 1386 | Maoni (19) | Soma Zaidi

 

Warembo hawa wanasikitisha

risasi jumamosi  
Warembo hawa wanasikitisha
Amina Salim na Mariam Mndeme

Katika kipindi cha mwaka 2008 uliomalizika hivi karibuni, baadhi ya Warembo hapa nchini wametajwa kufanya vibaya katika fani hiyo ya ulimbwende kwa kuhusishwa na kashfa mbalimbali katika mwaka uliopita...
    (3 January 2009)
Views: 590 | Maoni (10) | Soma Zaidi

 

Komedi wizi mtupu, wazua kizaazaa Kariakoo

risasi jumamosi  
Komedi wizi mtupu, wazua kizaazaa Kariakoo
Na Richard Bukos

Kundi la vichekesho la Orijino Komedi, hivi karibuni limesababisha wizi mtupu katika mitaa ya Kariakaoo jijini Dar es Salaam, baada ya wasanii wawili Emanuel Mgaya ‘Masanja’ na Lukas Mhuvile ‘Joti’ kusababisha kizazaa, ambapo watu walilizwa kwa kuporwa mali zao...
    (3 January 2009)
Views: 619 | Maoni (13) | Soma Zaidi

 

Baada ya kumtema Aisha Bui: MPAKANJIA AMNASA KOLETA WA KAOLE

risasi jumamosi  
Baada ya kumtema Aisha Bui: MPAKANJIA AMNASA KOLETA WA KAOLE
Na Waandishi Wetu

Mfanyabiashara maarufu nchini Mohamed Mpakanjia ‘Meddy’, ambaye hivi karibuni alikaririwa akisema amemtema mkewe, Aisha Bui, sasa anadaiwa kumnasa msanii wa maigizo katika Kundi la Sanaa la Kaole, Koleta Raymond,Risasi limedokezwa...
    (20 December 2008)
Views: 951 | Maoni (13) | Soma Zaidi

 

AY apata pigo kubwa

risasi jumamosi  
AY apata pigo kubwa
Mussa Mateja na Catherine Kassally

Msanii wa kizazi kipya Ambwene Yesaya ‘AY’ amepatwa na pigo kubwa la kufiwa na mama yake mzazi aliyeaga dunia usiku wa Desemba 17 mwaka huu...
    (20 December 2008)
Views: 706 | Maoni (12) | Soma Zaidi

 

Wizi wa Nancy, Irene kuanikwa

risasi jumamosi  
Wizi wa Nancy, Irene kuanikwa
Na Waandishi Wetu

Lile sakata la tuhuma za wizi lililokuwa likiwakabili warembo wawili waliowahi kushika nafasi za juu katika fani ya urembo nchini, Nancy Sumary na Irene Kiwia, limechukua sura mpya baada ya kushindwa kutoa mikataba walioitumia katika kuandaa shindano la Miss Kisura lililofanyika jijini Dar es Salaam, mwezi Machi, mwaka huu...
    (20 December 2008)
Views: 635 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

NANCY SUMARY NAYE MWIZI

risasi jumamosi  
NANCY SUMARY NAYE MWIZI
Na Mwandishi Wetu

Kitendo cha washiriki wa Miss Kisura kunyimwa zawadi zao baada ya kumalizika kwa shindano hilo lililoandaliwa na warembo wawili waliowahi kushika nafasi za juu katika fani ya urembo nchini, Irene Kiwia na Nancy Sumary kimetajwa kuwa ni wizi...
    (13 December 2008)
Views: 901 | Maoni (7) | Soma Zaidi

 

NASREEM ANYATIWA NA MSHIRIKI BIG BROTHER

risasi jumamosi  
NASREEM ANYATIWA NA MSHIRIKI BIG BROTHER
Na Waandishi Wetu

Miss Tanzania 2007, Nasreen Karim amedaiwa kunyatiwa kinoma na Mshiriki wa Big Brother Africa III wa Afrika Kusini ‘Sauzi’, Thamisanqa Prusent....
    (13 December 2008)
Views: 456 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

BAKHRESA YU HOI!

risasi jumamosi  
BAKHRESA YU HOI!
Na Christopher Lissa

Mfanyabiashara maarufu jijini Dar, Said Salim ‘Bakhresa’ yu hoi kwa presha kufuatia kiwanda chake kilichopo Tazara jijini kuteketea kwa moto uliomsababishia hasara ‘vijisenti kibao’....
    (13 December 2008)
Views: 911 | Maoni (10) | Soma Zaidi

 

Mengi apewa siku 7

risasi jumamosi  
Mengi apewa siku 7
Na Elvan Stambuli
Kufua ishu ya kumfanya ombaomba ‘Matonya’, Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi amebanwa na serikali kwa kupewa siku saba ili athibitishe madai yake kuwa kuna waziri mmoja kijana wa serikali anayemuhujumu ili afilisiwe....

    (6 December 2008)
Views: 749 | Maoni (20) | Soma Zaidi

 

Miss TZ amuibia Mtasha...

risasi jumamosi  
Miss TZ amuibia Mtasha...
Amina Salim na Mariam Mndeme
Miss Ruvuma namba moja 2006, ambaye alibahatika kuingia kumi bora katika kinyang’anyiro cha kumsaka Miss Tanzania, Isabela Mpanda amemuibia Mzungu (Mtasha) kiasi cha dola za Kimarekani 1,800, sawa na shilingi milioni 2 za kitanzania....
    (6 December 2008)
Views: 576 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Golikipa wa Simba

risasi jumamosi  
Golikipa wa Simba
Na Mwandishi Wetu
Golikipa namba moja wa Timu ya Simba ya Dar es Salaam, Amani Simba Juzi (Alhamis) alitumia ubabe kwa kumpiga na kumpora kamera mwandishi wetu baada ya kupigwa picha akijirusha na Jamila Hassan ambaye anadaiwa kuwa aliwahi kuwa demu wa golikipa wa Yanga Juma Kaseja...
    (6 December 2008)
Views: 399 | Maoni (9) | Soma Zaidi

 

ORIJINO KOMEDI WAKAMATWA!

risasi jumamosi  
ORIJINO KOMEDI WAKAMATWA!
Christopher Lissa na Richard Bukos

Katika hali ya kushangaza, wavunja mbavu wa Kundi la Ucheshi la Orijino Komedi walikamatwa na kushikiliwa kwa muda na Polisi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam baada ya kutinga mahakamani hapo kwa nia ya kuwaigiza mawaziri wa awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona...
    (29 November 2008)
Views: 3160 | Maoni (11) | Soma Zaidi

 

Wasomi ovyooo: Ni wa Chuo Kikuu, wapiga picha chafu

risasi jumamosi  
Wasomi ovyooo: Ni wa Chuo Kikuu, wapiga picha chafu
Na Waandishi Wetu

Wakati sakata la wanafunzi wa vyuo vikuu kugoma kuishinikiza serikali kubadilisha sera ya mikopo kwa vyuo vya elimu ya juu nchini halijatulia, wasomi watatu wa chuo kikuu kimoja maarufu nchini (jina linahifadhiwa), wamepiga picha chafu na kutundikwa mtandaoni...
    (22 November 2008)
Views: 5870 | Maoni (50) | Soma Zaidi

 

Zitto chupu chupu kutupwa rumande

risasi jumamosi  
Zitto chupu chupu kutupwa rumande
Na Richard Bukos

Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Zitto Kabwe hivi karibuni alinusurika kutupwa rumande katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, baada ya kuvamia watuhumiwa wa kesi ya EPA na kuanza kuongea nao wakati mahakama ikiendelea...
    (22 November 2008)
Views: 487 | Maoni (3) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 11 12 13  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com