arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » risasi jumamosi

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Aunt Ezekiel alivyopigika k ...
» ZITO LAIBUKA
» KIGOGO WA MURO NAYE KUKAMAT ...
» GLOBAL PUBLISHERS MUSIC PLA ...
» JERRY MURO AKOSWA RISASI
» Kigogo afanyiwa umafia
» JERRY: NASAKWA NIUAWE!
» THE GAMBOSHI - 17
» Chalz Baba stop Twanga
» Credo nje miezi miwili ...
» MY DEAR CLEOPATRA (MCHU ...
» MISSY ELLIOTT
» Kaduguda atoboa siri
» SHED NO MORE TEARS GEN ...

 

MTUHUMIWA

risasi jumamosi  
MTUHUMIWA
Na Mwandishi Wetu
The Supermodel, aliye pia Miss Tanzania 10 Bora 2008-09 anayedaiwa kufanyiwa unyambilisi wa kubakwa kisha kupigwa picha chafu, anatengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine, hii ikihusu kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ubakaji huu...
    (20 March 2010)
Views: 1268 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

Sajuki, Wastara

risasi jumamosi  
Sajuki, Wastara
Na Mwandishi Wetu
Ndugu Lawama, huo ni wimbo kutoka bendi marehemu ya Double M Sound, lakini una maana kubwa katika jamii zetu, na imethibitika kwenye ndoa ya wasanii wa filamu nchini, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ na Wastara Juma kutokana na dhoruba zito linalowapiga...
    (20 March 2010)
Views: 939 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

Jamilah

risasi jumamosi  
Jamilah
Na Richard Bukos
Mrembo aliyewahi kuwa gumzo kupitia uhusiano wake wa kimapenzi na wanasoka wawili kwa nyakati tofauti, kipa timu ya Simba, Juma Kaseja na kiungo wa Yanga, Athumani Idd Chuji, zote za Dar es Salaam, Jamilah Hassan, hatimaye amechumbiwa...
    (20 March 2010)
Views: 481 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Mish B aingia kitanzini

risasi jumamosi  
Mish B aingia kitanzini
Na Mwandishi Wetu
Hatimaye ‘presenta’ wa kipindi cha miondoko ya Pwani kupitia Kituo cha Redio cha Magic FM cha jijini Dar es Salaam, Mwanahamisi Bashir Mwenda ‘Mishi B, hivi karibuni ameingia kwenye kitanzi cha ndoa baada ya kufanyiwa bonge la ‘kicheni pati’ ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuvaa pingu za maisha...
    (20 March 2010)
Views: 305 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Miss Malaika kurejea tena

risasi jumamosi  
Miss Malaika kurejea tena
Kinyang’anyiro cha kumsaka Miss Malaika kimerejea tena baada ya kukaa kimya takribani miaka saba iliyopita na mrembo wa Tanzania, Elizabethi Urio kufanikiwa kulinyakua taji hilo ambapo shindano hilo kwa sasa linafanyika bara zima la Afrika na badala ya Afrika Kusini kama ilivyokuwa miaka ya nyuma...
    (20 March 2010)
Views: 48 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Wabongo wakereka na wasanii wavaa vimini

risasi jumamosi  
Wabongo wakereka na  wasanii wavaa vimini
Licha ya kuwepo kwa jitihada za makusudi kuhakikisha filamu kutoka kiwanda cha filamu hapa bongo zinachukua chati na hatimaye kuitangaza nchi hii kimataifa, kumekuwepo na lawama nyingi kutoka kwa jamii kuhusiana na aina ya mavazi ambayo yanatumiwa na nyota kadhaa wanaoishiriki katika filamu hizo...
    (20 March 2010)
Views: 389 | Maoni (8) | Soma Zaidi

 

ZAIN KUSINDIKIZA TAMASHA LA WASANII LEO

risasi jumamosi  
Kampuni ya simu za mkononi ya Zain leo (Jumamosi) inatarajiwa kuungana na wasanii wa sanaa mbalimbali katika tamasha litakalofanyika viwanja vya, Nafasi Arts Space, vilivyopo Mikocheni jijini Dar es Salaam...
    (20 March 2010)
Views: 11 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Diamond Musica kupakua goma tatu mpya leo

risasi jumamosi  
Bendi ya muziki wa dansi nchini inayokuja kwa kasi ya ajabu inayokwenda kwa jina la Diamond Musica International leo asubuhi itakuwa katika viwanja vya Leaders Club ikiendelea na na kampeni za kuinadi Bahati Nasibu ya Shinda Gari 2010 na jioni itatambulisha ngoma zake tatu mpya ndani ya Ukumbi wa Meeda uliopo Sinza jijini Dar es Salaam...
    (20 March 2010)
Views: 11 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Unabii wa ngono

risasi jumamosi  
Unabii wa ngono
Na Mwandishi Wetu
Ni skandali nyingine yenye uzani mkubwa kuzunguka Kanisa hususan kwa waumini wenye mlengo wa kilokole, baada ya kuibuka kwa tuhuma kwamba baadhi ya watumishi wa kiroho wanazitumia nafasi zao kupata pumziko la ngono kutoka kwa waumini wao...
    (13 March 2010)
Views: 1400 | Maoni (10) | Soma Zaidi

 

Diamond Musica kuinadi gari ya Global Leaders leo

risasi jumamosi  
Diamond Musica kuinadi gari ya Global Leaders leo
Bendi ya Muziki wa Dansi ya Diamond Musica International leo itakuwa na kazi moja ya kulinadi kwa wasanii wa filamu nchini gari la Global Publishers linaloshindaniwa katika Bahati Nasibu ya Shinda Gari 2010 ambayo inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Dar es Salaam...
    (13 March 2010)
Views: 29 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Duh! Eti Irene Uwoya anathamini filamu kuliko ndoa yake

risasi jumamosi  
Inaweza ikawa kweli japo hatuna uhakika wowote juu ya minong’ono ambayo imezagaa kila kona ya jiji la Dar es Salaam kuwa, mkali wa muvi za Kibongo Irene Uwoya ameonekana kuithamini zaidi tasnia ya filamu kuliko ndoa yake...
    (13 March 2010)
Views: 253 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Masanja kazi ya ujaji unaiweza kweli ama unazuga!

risasi jumamosi  
Masanja kazi ya ujaji unaiweza kweli ama unazuga!
Mchekeshaji first class Bongo anayesumbua mbaya ndani ya Kundi la Orijino Komedi anatarajiwa kuwa jaji katika shindano la kumtafuta mkali wa Kiduku 2010 lililoandaliwa na mtangazaji anayepoteza kinoma katika fied hiyo hapo ya utangazaji Maimartha Jesse a.k.a Mai wa Jesse...
    (13 March 2010)
Views: 284 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Simwachi Rose

risasi jumamosi  
Simwachi Rose
Na Mwandishi Wetu
yenye kichwa; ROSE MUHANDO AIPASUA NDOA YA ALEX MSAMA.
Mkurugenzi huyo alisema kuwa, toka gazeti hilo lilipoingia mitaani asubuhi na yeye usingizi wake ulikatika ghafla, kwani simu za kumpa pole ziliweka zamu ikiwa ni moja baada ya nyingine...
    (13 March 2010)
Views: 1127 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Mkapa anena jambo zito msibani

risasi jumamosi  
Mkapa anena jambo zito msibani
Na Haruni Sanchawa
Bosi wa Tanzania Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa amewabana mahausigeli na mahausiboi akitaka wasipewe ajira bila kuwa na mafaili yenye rekodi inayoonesha maeneo wanayoweza kupatikana punde wanapoharibu kwa waajiri wao na kuingia mitini....
    (13 March 2010)
Views: 770 | Maoni (6) | Soma Zaidi

 

Mchecheto

risasi jumamosi  
Mchecheto
Na Mwandishi Wetu
Mchecheto wa Uchaguzi Mkuu 2010 umeanza kushika kasi, mpya yenye moto ni kuwa baadhi ya wagombea nafasi ya ubunge walioweka kambi yao Dar, wamechanga shilingi milioni 40 na kuita jopo la waganga wa jadi kwa lengo la kusafisha nyota zao...
    (6 March 2010)
Views: 493 | Maoni (6) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 31 32 33  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Author: admin


Gazeti la Uwazi



Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

 hit counter

counters

2008 © globalpublisherstz.com