arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Saikolojia na maisha

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Zaidi ya Mapenzi ? 2
» Hongera Angela Lubala k ...
» Zitto, Nchimbi wafanya ...
» LICHA YA KIFO CHA DITTO ...
» MAMA KANIFANYA NIWE CHA ...
» Eto’o ngono ilimuathiri ...
» WEE MKWARE, ACHA KUBONY ...

 

Kwa mafanikio zaidi mwaka 2009, zingatia ushauri wangu huu!

Saikolojia na maisha  
Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuumaliza mwaka na kuingia mwingine kwa mafanikio mengi. Sina shaka kuwa wema wake ndio ulioniwezesha kupita vikwazo vingi vya kimaisha na hatimaye kuwa mmoja kati ya mamilioni ya waliosherehekea ujio wa mwaka 2009...
    (1 January 2009)
Views: 49 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

SAIKOLOJIA INAVYOTATUA TATIZO LA MWANAUME KUFIKA KILELENI MAPEMA! -2

Saikolojia na maisha  
SAIKOLOJIA INAVYOTATUA TATIZO LA MWANAUME KUFIKA KILELENI MAPEMA! -2

Wiki jana tulizungumzia adha ambazo wanawake huzipata kutoka kwa wanaume wanaowahi kufika kileleni mapema, lakini pia tuliona namna wanaume kwa upande wao wanavyokerwa na kasoro hiyo. Pamoja na hayo tuliona uwezekano wa mtu kujitibu mwenyewe tatizo hili kwa kutambua kanuni za kisaikolojia ambazo huchangia ufikaji kileleni mapema....
    (25 December 2008)
Views: 254 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Saikolojia inavyotatua tatizo la mwanaume kufika kileleni mapema!

Saikolojia na maisha  
Miongoni mwa matatizo makubwa kabisa yanayowakabili wanaume katika suala la kujamiiana ni kufika kileleni mapema. Takwimu zisizo rasmi zinaonesha kuwa, wanaume saba kati ya kumi wana kasoro hii...
    (18 December 2008)
Views: 250 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

Kujichua kunavyoweza kuyaathiri maisha yako! -2

Saikolojia na maisha  
Mada hii tulianza kuitazama wiki jana, niwashukuru watu walionipigia simu kukiri kwamba wanakabiliwa na tabia ya kujichua. Namshukuru Mungu kuwa mafundisho yangu yamekuwa na msaada kwa watu wengi. Natiwa moyo ninaposikia watu wanasoma na kubadili maisha yao. Baada ya shukurani hiyo tuendelee na mada hii kutoka pale tulipoishia wiki jana.
Matatizo haya ni kwa uchache, lakini yapo mengine ya kiafya, ambayo ni pamoja na kuumwa na kichwa, mgongo na kupoteza nguvu za mwili, hasa kwa wale wanaojichua kwa zaidi ya mara tatu kwa siku...
    (11 December 2008)
Views: 308 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

KUJICHUA KUNAVYOWEZA KUYAATHIRI MAISHA YAKO!

Saikolojia na maisha  
Punyeto au kwa Lugha ya Kiingereza Masturbation ni kitendo cha mwanaume kujisugua tupu yake na kutoa manii. Neno hili limetambulika na jamii mbalimbali miaka mingi iliyopita . Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa 2004 na Jarida la NOW la Tolonto, ilibainika kuwa, asilimia 81 ya wanaume huanza kufanya kitendo hicho wakiwa na umri wa miaka kati ya 10 na 15...
    (4 December 2008)
Views: 531 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

Njia 4 za kukusaidia kujifunza kutokana na makosa yako!

Saikolojia na maisha  
Naomba tuanze mada hii kwa kila mmoja wetu kujiuliza kwa nini tunapatwa na mambo mabaya katika maisha yetu ya kila siku, ndoa zinavunjika, ajali zinatokea, tunafilisika kibiashara, tunagombana, tunafeli mitihani au inakuwaje tunajikuta katika misukosuko ya kimaisha ambayo tulikuwa na njia ya kuepuka? Jibu ni kwasababu TUNAFANYA MAKOSA!...
    (27 November 2008)
Views: 154 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Kupenda kukipitiliza kunaweza kuyafupisha maisha yako!

Saikolojia na maisha  
Kupenda ni jambo muhimu katika maisha ya mwanadamu, kwa sababu asilimia kubwa ya matendo ya mtu huongozwa na mapenzi. Miongoni mwetu kuna watu wanapenda waume/wake zao, mali, watoto, magari vyakula, vinywaji, michezo na pengine aina fulani ya maisha...
    (19 November 2008)
Views: 157 | Maoni (2) | Soma Zaidi

 

HIVI WAJUA WAPO PIA WASOMI WAJINGA?

Saikolojia na maisha  
Watu wengi hasa wasomi huamini kuwa ujinga ni mzigo wa binadamu wasiosoma (illiterate), lakini wenye elimu ya juu wakiwemo viongozi wa serikalini wao hawawezi kuwa wajinga....
    (13 November 2008)
Views: 102 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

YANAYOWAFELISHA WANAFUNZI WENGI-2

Saikolojia na maisha  
YANAYOWAFELISHA WANAFUNZI WENGI-2

Wiki iliyopita mpenzi msomaji wangu nilianza kukuletea mada iliyowagusa moja kwa moja wanafunzi iliyokuwa inaeleza sababu mbalimbali zinazowafanya wanafunzi wengi kufeli katika masomo yao. Wiki hii basi nitaimalizia mada hii ili wiki ijayo niweze kuanza mada nyingine kali...
    (6 November 2008)
Views: 122 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

yanayowafelisha wanafunzi wengi!

Saikolojia na maisha  
yanayowafelisha wanafunzi wengi!
UMASIKINI

Umasikini ni kikwazo kikubwa cha mafanikio ya wanafunzi kimasomo, lakini tunashauri kwamba kila mwanafunzi anayetoka katika familia masikini ajitambue na awe tayari kuishi sawa na kipato cha familia yake wakati akitafuta elimu...
    (30 October 2008)
Views: 202 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

LAANA NA JINSI INAVYOWEZA KUFANYA KAZI KWA WANANDOA!-2

Saikolojia na maisha  
Namshukuru Mungu kwa kunijalia afya ya kuweza kuendelea na somo hili wiki hii. Sina budi kuwashukuru wale wote walioguswa na somo hili kiasi cha kuahidi kuwatafuta watalaka wao na kuwaomba radhi.

Binafsi nimefurahiswa sana na wanawake walioahidi kutoa ushuda wao nawakaribisha. Baada ya utangulizi huu tuendelee toka tulipoishia wiki iliyopita?
    (16 October 2008)
Views: 190 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Laana na jinsi inavyoweza kufanya kazi kwa wanandoa!

Saikolojia na maisha  
Kumekuwa na ushahidi mwingi kutoka kwa wanaume ambao wamepatwa na mabaya muda mfupi baada ya kuachana na wake zao. Jamii na hata wanawake wenyewe wamekuwa hawafahamu ni nguvu gani ambayo huwashukia wanaume na kuwaporomosha kimaisha muda mfupi baada ya kuwapa talaka au kutengana na wake zao. Wengine wanasema ni laana, lakini wapo wanaopinga tena kwa ushahidi kabisa kwamba kuna wanawake waliachwa na hakuna matokeo mabaya kwa waume zao....
    (9 October 2008)
Views: 196 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

HERI MASKINI MUAMINIFU KULIKO TAJIRI ASIYEAMINIKA!

Saikolojia na maisha  
Anayebisha kauli hii asome historia za watu mbalimbali atagundua kuwa udanganyifu ni sumu kubwa ya maisha ya mwanadamu. Nawafahamu viongozi wakubwa wa dunia kama Richard Nixon wa Marekani na wengine walivyoporomoka baada ya kuuchafua uaminifu wao kwa jamii...
    (2 October 2008)
Views: 131 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

UNAVYOWEZA KUACHANA NA TABIA MBAYA ULIZOZIZOEA!

Saikolojia na maisha  
Msingi wa mwanadamu kutengeneza mabaya au mazuri hutokana na mienendo ya kitabia na utendaji wa jamii au watu husika....
    (18 September 2008)
Views: 266 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

MAMBO 45 YA KUHUZUNISHA NA NAMNA YA KUKABILIANA NAYO-5

Saikolojia na maisha  
Wiki hii nitamalizia mambo ambayo huwafanya watu wengi kuwa na hofu katika maisha yao ya kila siku na jinsi unavyoweza kukabiliana nayo...
    (4 September 2008)
Views: 234 | Maoni (0) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 4 5  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com