Tunapozungumzia upungufu wa nguvu za kiume tunakuwa katika uwanja mpana zaidi wa tafakari za kibaiolojia na kisaikolojia walizonazo wanaume. Lakini kwa kufupisha mambo, sehemu kuu tatu zinaweza kabisa kukidhi mchanganuo mzima wa jinsi tatizo hili linavyowasumbua wanaume wengi duniani...
4. Kataa kupingwa na kutawaliwa, ondoa shaka na hofu ya kupata kibali au kukubalika machoni pa mama yako. Kumbuka, kibali tunachotafuta na chenye maana zaidi ni kuwa na kibali machoni pa Mungu. Tambua kuwa haiba ya mama yako na jinsi ya malezi yake yaweza kuwa tofauti kabisa na ya kwako. Elewa kwamba ni upumbavu kujaribu kumbadilisha, amua kumkubali jinsi alivyo...
Ilipoishia wiki iliyopita Afuate haki Kiongozi imara anatakiwa kufuata haki katika kuongoza kwake, asijione mwenye haki zaidi ya wale anaowaongoza katika sheria. Ni muhimu kwake kuwafanya walio chini yake kujiona wako huru katika mawazo na matendo. Kiongozi anayetumia nguvu na ukali kuongoza watu hafai. Hata yule mwenye kujivunia uongozi wake naye hafai. Awe egemeo la watu Sifa nyingine ya kiongozi ni kuwa egemeo la watu wake katika shida na raha. Kiongozi mzuri ni yule ambaye atakuwa tayari kusikitika, kuomboleza, kufurahi pamoja na watu wa chini yake bila kujitenga nao. Ajitolee kuwatumikia watu kwa hali na mali na awe tayari kutumika zaidi kwa maslahi ya wengine. Atie moyo watu Kiongozi mzuri ni yule ambaye atakuwa na uwezo wa kuwatia moyo walio chini yake ili waweze kuendeleza vipaji vyao. Haipendezi kwa kiongozi kuwavunja moyo watu kwa kauli za kudharau kazi na jitihada zao walizojaribu kufanya katika kutekeleza majukumu yao kama wafanyakazi au wananchi. Sasa endelea ...
Katika kazi zangu, nimekutana na watu wengi walioko kwenye uhusiano wa kimapenzi wanaolalamika kuhusu ugomvi wa mara kwa mara kwenye mahusiano yao. Katika makala haya ninajaribu kuonesha baadhi ya sababu zinazofanya wapenzi au wanandoa wengi kugombana mara kwa mara...
LK Johnson Profesa wa zamani kutoka Chuo cha Stanford nchini Uingereza, aliwahi kusema kuwa mwanafunzi anaweza kupasi mtihani wake kabla hata hajaufanya kutokana na kujiamini kwake. Hata hivyo, hatari inatajwa kuwa kubwa kwa mwanafuzi wa aina hiyo pale linapokuja suala la kufeli mtihani...
1. Jiwekee malengo ya kifedha Weka maamuzi binafsi ya nini unachokihitaji na wapi unakotaka uwe kimaisha hapo mbeleni. Yaweke malengo yalio ya kifedha katika makundi yafuatayo:-
Ni ukweli usiopingika kuwa ndoa nyingi zimepoteza furaha kutokana na watoto kukoseka miongoni mwa wanandoa. Wanawake na wanaume wamejikuta wakiangukia katika mikono ya matapeli wanaojiita waganga na kufanyiwa mambo mengi ya ajabu, ikiwa ni pamoja na kufanya mapenzi na mizuka au na watu ambao hawakuwatarajia ili tu waweze kupata watoto...
Ilipo ishia wiki iliyo pita Hakikisha umeyasoma maswali yote, la kwanza mpaka la mwisho na weka alama kwenye maswali unayoyafahamu vizuri. Ukishayasoma yote, panga muda utakaoutumia kujibu kwa kila swali kutegemeana na uzito wa swali. Ukishamaliza sasa unaruhusiwa kuanza kuyajibu. Anza na yale unayoyajua vizuri kwani kwa kufanya hivyo utajikuta kujiamini kwako kukizidi kuongezeka...
MARA nyingi wengi huumwa na kudhoofu afya zetu na hata kupoteza maisha kwasababu zisizo tu za magonjwa bali tabia au mitindo ya maisha ambayo tumeyazoea, bila kujua, hutusababishia uharibifu mkubwa wa miili na sehemu za miili yetu na hivyo kutuweka katika hatari ya kupotezea uhai...
Wanafunzi wa kidato cha sita nchini wanajiandaa kuingia katika mitihani ya kuhitimu Kidato hicho (A-level) siku chache zijazo. Kwa kutambua hofu na taharuki kubwa wanayokuwa nayo wanafunzi, nimeandaa mada hii iwe msaada kwao, walezi, wazazi na wote ambao mtihani huu unawagusa kwa namna moja au nyingine. Zifuatazo ni mbinu za kitaalamu ambazo zitasaidia kumjenga mwanafunzi na kumuondolea kabisa hofu pindi anapoingia kwenye chumba cha mtihani...
5. Kuolewa au kuoa kwa shinikizo la wazazi, ndugu au marafiki SHINIKIZO la kimwili au kihalisia ni pale wazazi wanapowalazimisha watoto wao kuoa au kuolewa na watu fulani kwa sababu tu ni marafiki zao (family friends) ama walinde utajiri na matarajio binafsi. Ndoa nyingi za aina hii zimekuwa kero na dimbwi la maumivu na machozi, ambapo baada ya muda kidogo wanandoa hujikuta wana mali na wazazi wao wanapatana, lakini wao wenyewe ni maadui wakubwa...
Ni vigumu kuelezea moja kwa moja kujiamini maana yake nini? Lakini mtazamo wa mwanadamu juu ya namna wenzake wanavyomchukulia inaweza kuwa kutafsiri neno kujiamini. Ikiwa utajilinganisha na wengine na hatimaye kuhisi aibu, ujue unakabiliwa na tatizo la kujiamini...
TUMEWAONA watu wengi wakiishi kwenye ndoa katika hali tofauti za maisha, wako wenye fedha na wasionazo, wenye furaha na wasionayo. Yote haya huweza kuchangiwa na sababu nyingi zikiwemo mbovu na zisizo na msingi ama zile sahihi na zenye tija...
Katika uchunguzi wangu nimebaini kuwa ni wanafunzi wachache ambao hutoka katika vyumba vya mtihani na jibu la uhakika kuwa wamefaulu au wamefeli mitihani yao, hii ikiwa na maana kuwa wengi wao huwa hawafahamu kama majibu walioandika ni sahihi au la, na hivyo kudhani kuwa wasahihishaji wanaweza kuwa na jipya zaidi ya kuwapa mavuno ya kile walichopanda...
Kusudi la makala hii ni kuwasaidia wale wanaotarajia kuingia katika mahusiano ya kudumu, kwa sababu wengi wamekuwa vipofu katika kuona baadhi ya dalili mbaya zinazoonekana katika hatua za mwanzoni za uhusiano na wanashtuka wakati tayari wameshafanya maamuzi mazito yakiwemo ya kuoana au kuishi pamoja, hali inayosababisha misuguano na maumivu mengi baina ya wapenzi husika, na mbaya zaidi wengine hushindwa kabisa kuendelea na kuvunja mapenzi yao...