arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » Users » Abdallah Mrisho

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Nataka kichwa cha mwana ...
» TUMEKUJA KUWASHIKA
» CHANGING PEOPLE'S LIVE ...
» Utajuaje kama anakupend ...
» AHSANTENI SANA KWA KUWA ...
» Yanga: Leo chereko
» Babu Seya, wanae

User: Abdallah Mrisho

Full Name: GLOBAL PUBLISHERS
Registration Date: 20 August 2007 14:00
Last Visit: 6 January 2009 11:01
Group:    Moderator

Ratings:
  • 51


Town:
About Yourself:


No. of Publications:    4924
No. of Comments: 4 [ View the latest comments ]

E-mail: [Send e-mail ] [Send PM] Edit Information:

 

HII NDIYO ZAWADI YAKO MSOMAJI!

photos  
HII NDIYO ZAWADI YAKO MSOMAJI!
Hadi sasa, wewe msomaji, umetembelea mtandao huu zaidi ya MILIONI 4! Na umetembelea ndani ya kipindi kisichozidi miezi 17 kuanzia SEPTEMBER 2007. Tunakushukuru na kukupongeza sana. Hatuna jambo kubwa la kufanya kuonesha shukrani yetu itakayolingana na umuhimu wako. Wakati tunaelekea kutimiza msomaji wa MILIONI 5, tumetenga zawadi ya simu aina ya BLACKBERRY 8700G. Zawadi hii utaipata ukibahatika kuangukia nambari 5000000 (milioni 5) siku utakapofungua website hii (Angalia counter mwisho wa page hii, kona ya kushoto). Utakachotakiwa kufanya ni kuprint screen popote ulipo duniani na kututumia kama ushahidi kwa email: uwazi@hotmail.com. (tafadhali usifanye usanii, utaumbuka).

MBALI YA ZAWADI HIYO, wewe kama ni mkazi wa Dar es salaam, ukisoma tangazo hii, nenda duka maarufu linalouza VIPODOZI, HAND BAGS na VIATU kutoka Marekani, ARISE BEAUTY SUPPLY, jitambulishe kuwa umeona tangazo hili kwenye mtandao wa Global Publishers na utapewa PUNGUZO LA ASILIMIA 20 kwa bidhaa yoyote utakayoinunua katika kipindi hiki. ARISE BEAUTY SUPPLY, wapo Mikocheni B, jirani na klabu ya Talk of The Town na Sinza Mapambano, bidhaa zao ni HIGH QUALITY FROM USA na Brands zao ni pamoja na Victoria's Secret, Avon, LA Girl, n.k. Hawa ndiyo wadhamini wetu, ongea nao zaidi kwa namba: +255 784 521171, +255 784 456046 (MIKOCHENI) na +255 0753 335011 (SINZA). Au tembelea mtandao wao:WWW.ARISE-TZ.COM

HII NDIYO ZAWADI YAKO MSOMAJI!
(soma zaidi kuona baadhi ya bidhaa zao)
    (6 January 2009)
Views: 26 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

ZAWADI!!

photos  
ZAWADI!!
Msomaji! Je, utafurahia kiasi gani nikikuzawadia BLACKBERRY mpya kwa kunisoma tu kila siku? Hebu nijibu nami nikufahamishe nitakuzawadia vipi!
WEB MASTER
    (6 January 2009)
Views: 106 | Maoni (16) |

 

CHANGIA MADA YA LEO

photos  
Na Adolph Balingilaki
CHANGIA MADA YA LEO

Je,ninani mkali katika nyanja ya Filamu nchini kati ya Stephen Kanumba na Ray? Kwanini na niupi ushauri wako kwao?..KANDAMIZA MAONI YAKO NA TUTUMIE ………
    (6 January 2009)
Views: 164 | Maoni (8) |

 

NEWZ

photos  
MTIKILA AJISALIMISHA KORTINI
NEWZ
Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha Democratic Part (DP) Mchungaji Christopher Mtikila, leo amejisalimisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, baada ya mahakama hiyo kuamuru akametwe kutokana na kutofika kusikiliza kesi yake jana.
Mtikila aliueleza mtandao wetu mahakamani hapo, kuwa alifika kwaajili ya kuwasilisha hati yake ya kuiomba radhi mahakama hiyo.Pichani Mtikila (mwenye tai) akiongea na baadhi ya mapaparazi mapema hii leo, baada ya kujisalimisha mahakamani hapo.

HATIMA YA OMBI LA MRAMBA KUSAFIRI NJE YA DAR KUSHUGHULIKIWA
NEWZ
Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Da es Salaam, imesema kuwa inaendelea kushughulikia ombi la aliyekuwa Waziri wa Fedha Basil Pesambili Mramba la kusafiri nje ya mkoa wa Dar.
Hakimu anayesikiliza kesi ya matumizi mabaya ya ofisi na kulisababishia Taifa hasara ya zaidi ya Sh.Bilioni 11 inayowakabili Mramba na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Daniel Yona, pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wizara hiyo Grey Mgonja, Hezron Mwankenja, ameuambia mtandao huu mapema hii leo kuwa suala hilo huenda likafafanuliwa vizuri Januari 7. Mramba aliiomba mahakama hiyo hivi karibuni ili iweze kumpa kibari cha kwenda kuwasalimia wapiga kura wake.

MATAA YA UMEME WA JUA KUANZA KUTUMIKA DAR
NEWZ
Jiji la Dar es Salaam huenda likaondokana na kero ya mataa ya kuongozea magari, kutokana na kuanza kufunga kwa mataa hayo yanayotumia nguvu za Jua.Mtandao huu umeshuhudia nguzo nyingi za mataa hayo, zikiwa zimeandaliwa kama inavyoonekana pichani katika makutano ya Barabara za Shekilango na Bagamoyo Jijini Dar.

SPORTS
KILIMANJARO STARS KUMENYANA NA WANDA KESHO

NEWZ
Baada ya kufufua matumaini yake katika michuano ya Kombe la Chalenji kwa kuilaza timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) kwa mabao 2-1,timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) kesho inatarajia kushuka tena dimba la Nakivubo nchini Uganda, kukwaruzana na timu ya Taifa ya Rwanda.
Kilimanjaro Stars, wanaonolewa na Mbrazil Marcio Maximo, wanatarajia kushuka dimbani hilo wakitaka kupata pointi tatu muhimu, ili kuweza kujiweka katika mazingira mazuri ya kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali.

KIBONZO
NEWZ
PICHA ZOTE NA CHRISTOPHE LISSA/GPL
    (6 January 2009)
Views: 20 | Maoni (1) |

 

Mama akinyonga kichanga chooni

uwazi  
Mama akinyonga kichanga chooni
Na Mwandishi Wetu

Msichana mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwanaidi Mbaraka (20) yuko chini ya ulinzi mkali wa polisi baada ya kukinyonga kichanga chake alichojifungua katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro na baadaye kukidumbukiza kwenye ndoo iliyojaa maji ya kutawazia...

    (6 January 2009)
Views: 489 | Maoni (32) | Soma Zaidi

 

Wauza mafuta wakaidi agizo za Serikali

uwazi  
Wauza mafuta wakaidi agizo za Serikali
Na Waandishi Wetu

PAMOJA NA amri aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete ya kushushwa kwa bei ya mafuta hapa nchini, bado wauza mafuta wengi wameonekana kudharau kwa kuendelea kuuza bidhaa hiyo kwa bei ya juu...
    (6 January 2009)
Views: 75 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

2009, TUCHAPE KAZI KWA BIDII

Pasua Jipu  
Nianze kwa kumshukuru Mungu kutuwezesha kuwa na afya tena baada ya kutufikisha mwaka 2009.
Ndugu zangu, mwaka wa 2009 umeanza, majukumu na mipango kibao kuliko uwezo wetu. Nami naitumia kalamu yangu kwa mara ya kwanza katika safu hii kwa mwaka 2009, kujikumbusha machache lakini muhimu kwa mwaka wetu huu mpya. Naanza moja kwa moja....
    (6 January 2009)
Views: 19 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Nilimuua mume wangu niolewe na tajiri- 4

Mikasa ya kusisimus  
Shakila msichana aliyekuwa mama ntilie anajikuta akiwatesa watoto wa mke mwenza ambaye alikufa kwa ajili ya gari, hakumbuki aliapa mbele ya mumewe kuwa asingewatesa watoto na angewalea kama wanawe kwasababu anawapenda kama anavyompenda mumewe. Ni watoto wadogo wanaoteseka na kunyanyasika maishani mwao wakilia na kuweweseka kutokana na baba yao kusafiri mara kwa mara kwenda mikoani kufanya biashara ya mahindi.Je, nini hatima ya watoto hao wasio na kosa?...
    (6 January 2009)
Views: 220 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

THE BLOOD DEAL! (Kazi ya damu- 28)

hadithi za Shigongo  
Muddy, mlemavu ambaye si rahisi kumgundua kuwa ni muuaji kutokana na alivyoonekana machoni mwa wananchi analisumbua Jeshi la Polisi kwa kipindi kirefu, kazi yake kubwa ni kuua wanawake na kuwakata sehemu zao za siri kisha kuwagonga muhuri wenye alama ya 10000DY! Kazi ambayo ana ndoto kubwa ya kujipatia utajiri baada ya kumuuzia mganga wa kienyeji mwenyeji wa Zambia kwa ajili ya mambo ya kishirikina, wakiamini viungo hivyo hufanya migodi itoe dhahabu nyingi.

Baada ya kufanikiwa kuwatoroka askari hatimaye Muddy anapata lift ya Fuso akijifanya mwanafunzi nia yake atoke katikati ya Jiji la Dar es Salaam anapotafutwa kwa udi na uvumba, hata hivyo ndani ya Fuso alipowekwa nyuma ya bodi inasikika harufu kali sana, mwisho anajitetea kuwa ni dawa ya tumbo aliyoiweka.

Askari wanaamua kumfuatilia muuaji huyo na kuweka geti kila njia inayotoka jijini ili kukagua magari ya abiria na mizigo wakimtafuta Muddy. Ndani ya Fuso alipokuwa Muddy dereva anaulizwa na askari iwapo amebeba abiria mlemavu, bila kuficha kutokana na maelezo ya askari anafichua siri kuwa amebeba mlemavu mwenye mfuko unaotoa harufu kali, zoezi la kumtia mikononi Muddy linakuwa rahisi, wanamfikisha Kituo cha Polisi Kibaha na baadaye akasafirishwa mpaka jijini Dar es Salaam, wakuu wote wa jeshi hilo pamoja na Inspekta Jenerali anamshuhudia Muddy aliyekuwa akiwanyima usingizi. Anapigwa hali inayomfanya aombe kuelezea kilichotokea. Je, Muddy anataka kuwaeleza nini askari? SONGA NAYO...
    (6 January 2009)
Views: 298 | Maoni (9) | Soma Zaidi

 

CHANGIA MADA YA LEO!

photos  
CHANGIA MADA YA LEO!
Je, Miss Tanzania 2008, Nasreen Mohamed, anaweza kuwa na nafuu kwa upande wa skendo ukilinganisha na mamiss Tanzania wengine waliomtangulia?.. au hana tofauti? Tumuvuzishie maoni yako tafadhali...
    (5 January 2009)
Views: 279 | Maoni (12) |

 

NGELEJA ALINGIA MAFANIKIO WIZARA YA NISHATI NA MADINI

photos  
Waziri wa Nishati na Madini, William Mganga Ngeleja (MB), amesema kuwa wizara yake imepata mafanikio makubwa katika kipindi cha kuanzia mwaka 2005-2008

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mapema hii leo, katika ukumbi wa wizara yake, Ngeleja alibainisha maeneo ambayo wizara hiyo imeweza kupata mafanikio makubwa kuwa ni pamoja na Sekta ya Nishati na Madini.

Ngeleja alisema kuwa, kwa mwaka 2007 sekta ya Nishati (selta ndogo ya umeme asilia) ilikua kwa asilimia 10.9 ikilinganishwa na asilimia 9.0 ya mwaka 2005.

"Mwaka 2007 umeme uliozalishwa ulikuwa ‘megawatt/hour’ (MWh) 4,204.62 ikilinganishwa na MWh 3,148.85 kwa mwaka 2005"alisema Ngeleja.

Aidha, waziri huyo alisema kuwa Sekta ya Madini ilikua kwa asilimia 16.1 mwaka 2005, asilimia 15.6 mwaka 2006 na asilimia 2.7 mwaka 2007.

"Mchango wa sekta ya madini kwenye pato la taifa uliongezeka kutoka asilimia 2.4 mwaka 2005 hadi asilimia 2.7 mwaka 2007"alibainisha Waziri huyo.
NGELEJA ALINGIA MAFANIKIO WIZARA YA NISHATI NA MADINI

PICHA NA CHRISTOPHER LISSA NA RICHARD BUKOS/GPL
    (5 January 2009)
Views: 39 | Maoni (5) |

 

MSIMU WA SHULE HUU.

photos  
MSIMU WA SHULE HUU.
Kamera yetu mapema hii leo, katika maeneo ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam, imewanasa watu hawa wakinunua sare za shule huku wengine wakiwapima watoto wao kama zita wafaa. Msimu wa kufungua shule umekaribia ambapo wazazi na walezi huwanunulia sare mpya watoto wao.
    (5 January 2009)
Views: 3 | Maoni (0) |

 

WALEVI MMEISIKIA HII

photos  
WALEVI MMEISIKIA HII
Taasisi ya kuzuia ulevi Afrika Mashariki I.O.G.T leo iliielimisha jamii juu ya madhara ya ulevi ambapo baadhi ya sababu zilizoorodheshwa ni pamoja na ajali mbalimbali, maambukizi na maradhi yasizuilika kwa urahisi, kuishiwa nguvu nk. vilevile taasisi hiyo imeelezea azma yake ya kufanya mkutano wa kutoa elimu hiyo kuanzia Jan 13 - 14 mjini Arusha.
    (5 January 2009)
Views: 27 | Maoni (0) |

 

JAMANI NIUNGISHENI!

photos  
JAMANI NIUNGISHENI!
Mteja (kushoto) akichagua mashati kutoka kwa mfanyabiashara (kulia) kama walivyonaswa na kamera yetu maeneo ya Bamaga, jijini Dar es Salaam. Ukosefu wa wateja katika maeneo maalum ya kuuzia nguo unasababisha wafanyabiashara wengi kuamua kutembeza nguo hizo mitaani.
    (5 January 2009)
Views: 4 | Maoni (0) |

 

WAGOMA KUSHUSHA BEI ZA MAFUTA

photos  
WAGOMA KUSHUSHA BEI ZA MAFUTA
Wamiliki wa vituo ya mafuta jijini Dar es Salaam, wanaonekana kuligomea agizo la Serikali la kuwataka kupunguza bei ya mafuta kuanzia hii leo.

Uchunguzi uliofanywa na mtandao huu umebaini vituo vingi vimeendelea kuuza mafuta kwa kati ya Sh. 1350 hadi Sh.1600 tofauti na agizo (EWURA) kutaka vituo hiyo kuuza mafuta hayo kwa sh.1200.

    (5 January 2009)
Views: 6 | Maoni (0) |
Back  <<  1 2 3 ... 338 339 340  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us