Msichana mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwanaidi Mbaraka (20) yuko chini ya ulinzi mkali wa polisi baada ya kukinyonga kichanga chake alichojifungua katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro na baadaye kukidumbukiza kwenye ndoo iliyojaa maji ya kutawazia...
PAMOJA NA amri aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete ya kushushwa kwa bei ya mafuta hapa nchini, bado wauza mafuta wengi wameonekana kudharau kwa kuendelea kuuza bidhaa hiyo kwa bei ya juu...
Mwaka 2008 ndiyo unamalizika huku kukiwa na matukio makubwa ambayo hakuna shaka kwamba yamelitikisa taifa kwa kiwango kikubwa sana na kuacha kumbukumbu ambayo itachukua muda mrefu kufutika...
Wakati kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ikizidi kupaa hapa nchini hususan Jijini Dar es Salaam, kuna hatari ya hali hiyo kuzidi maradufu kutokana na kugundulika kwa njia mpya ya usambazaji wa virusi hivyo...
Mkazi wa Chang’ombe maduka mawili wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam, Bi, Mary Temu (50), amekata roho kwenye Choo cha Hospitali ya Wilaya ya Temeke , kwa kile kilichoelezwa uzembe wa wauguzi wa hospitali hiyo...
Wakati orodha ya washukiwa wa ufisadi kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), ikiwa imefikia 20, hata hivyo, inaweza kuongezeka kufuatia kuibuka kwa kashfa nyingine ndani ya Benki Kuu (BoT) ambapo mamilioni ya fedha yanasemekana kutafunwa...
Wanawake nchini wako kwenye hatari ya kupata magonjwa mbalimbali yasababishwayo na vipodozi vyenye viambata vya sumu kufuatia tabia ya baadhi ya wafanyabiashara wa maduka ya vipodozi kusambaza vipodozi hivyo kiholela, imeripotiwa....
Mkazi mmoja wa Kijiji cha Mugungia,wilayani Iramba,Mkoani Singida mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) Rehema Rashidi ameiomba serikali mkoani hapa kuangalia uwezekano wowote wa kumsaidia kurejeshewa mashamba yake yaliyokuwa yameachwa na marehemu wazazi wake, ambayo yameuzwa hivi karibuni kinyemela na baba yake mdogo.
Kanisa la viboko limeanzishwa maeneo ya Sekei,Mkoani Arusha ambapo waumini wake hulazimika kucharazwa fimbo kabla ya kuingia kanisani na kama sehemu ya kuwaondolea mapepo...
Hatimaye aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja Jana (Jumatatu) naye ameenda lupango kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuiingiza serikali hasara ya zaidi ya shilingi Bilioni 11 na hivyo kuzua hofu kwa vigogo zaidi serikalini...
Hatimaye, upepo mzuri umempuliza mtoto Baraka Bahati Rose (11), aliyelelewa na nyani katika pori la Usangu, wilayani Bukombe, Mkoani Shinyanga kwa zaidi ya miaka 5, baada ya kuwepo kwa uwezekano wa mtoto huyo kuchukuliwa na kituo cha kulelea Watoto yatima kinachomilikiwa na Mchungaji Getrude Lwakatare...
Sasa ni dhahiri Serikali ya awamu ya nne inakabiliwa na dhoruba kubwa na Rais Jakaya Kikwete itabidi achukue maamuzi mazito ili kuhakikisha analifikisha Taifa kwenye kile kinachoitwa Demokrasia ya Kweli inayoheshimu Utawala wa Sheria na maadili ya Umma na zaidi kurejesha imani ya wapiga kura kwa serikali yake...
Mtoto Baraka Bahati Rose (11) aliyeishi katika pori la Usangu wilayani Bukombe mkoa wa Shinyanga huku akilelewa na nyani kwa zaidi ya miaka 5, ameathiriwa na maziwa aliyokuwa akinyonya kutoka kwa mnyama huyo....
Na Makongo Oging Hali ya kisiasa imebadilika ghafla na kufikia hatua ya baadhi ya wanasiasa, viongozi wa dini na wananhi mbali mbali kuamua kumtumia ujumbe mzito Rais Jakaya Kikwete siku chache baada ya vigogo kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi...