arrowSet HomePage |arrowBookMark Us
right
lines

Global Publishers Tanzania- Uwazi » uwazi

Tafuta  

Tembelea...

Kalenda

Gazeti la Ijumaa

Marafiki wetu

Habari Zilizopita

Soma Magazeti Yetu...

Gazeti la Risasi Mchanganyiko
Amani
Gazeti la Ijumaa Wikienda

Bongo Celebrities ...

 
Habari Zinazotamba Habari Mchanganyiko
» Mpenzi mwenye tabia hizi m ...
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Mduara wa Mahaba (19)
» (SIMULIZI ZA CHUMBANI) MDUA ...
» Aisha Madinda: NGONO INANIU ...
» JACKLINE AMUANIKA ALIYEMTOA ...
» KANUMBA: NARGIS ALINITESA ...
» Mtangazaji wa Channel T ...
» Kaseja kumrithi Ivo Sta
» Yanga yakamata idara zo ...
» KUNA NINI KINAENDELEA K ...
» MREMBO AUA MWANAE KIKAT ...
» WATATU WANA NGOMA!
» TID OUT

 

Mama akinyonga kichanga chooni

uwazi  
Mama akinyonga kichanga chooni
Na Mwandishi Wetu

Msichana mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwanaidi Mbaraka (20) yuko chini ya ulinzi mkali wa polisi baada ya kukinyonga kichanga chake alichojifungua katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro na baadaye kukidumbukiza kwenye ndoo iliyojaa maji ya kutawazia...

    (6 January 2009)
Views: 526 | Maoni (35) | Soma Zaidi

 

Wauza mafuta wakaidi agizo za Serikali

uwazi  
Wauza mafuta wakaidi agizo za Serikali
Na Waandishi Wetu

PAMOJA NA amri aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete ya kushushwa kwa bei ya mafuta hapa nchini, bado wauza mafuta wengi wameonekana kudharau kwa kuendelea kuuza bidhaa hiyo kwa bei ya juu...
    (6 January 2009)
Views: 77 | Maoni (1) | Soma Zaidi

 

FUNGA MWAKA

uwazi  
FUNGA MWAKA
Na Mwandishi Wetu

Mwaka 2008 ndiyo unamalizika huku kukiwa na matukio makubwa ambayo hakuna shaka kwamba yamelitikisa taifa kwa kiwango kikubwa sana na kuacha kumbukumbu ambayo itachukua muda mrefu kufutika...
    (30 December 2008)
Views: 517 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

HATARI: Vigogo watumia pesa chafu kuambukiza Ukimwi

uwazi  
HATARI: Vigogo watumia pesa chafu kuambukiza Ukimwi
Na Waandishi Wetu

Wakati kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ikizidi kupaa hapa nchini hususan Jijini Dar es Salaam, kuna hatari ya hali hiyo kuzidi maradufu kutokana na kugundulika kwa njia mpya ya usambazaji wa virusi hivyo...
    (30 December 2008)
Views: 1100 | Maoni (10) | Soma Zaidi

 

MGONJWA AKATA ROHO CHOONI!

uwazi  
MGONJWA AKATA ROHO CHOONI!
Na Makongoro Oging

Mkazi wa Chang’ombe maduka mawili wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam, Bi, Mary Temu (50), amekata roho kwenye Choo cha Hospitali ya Wilaya ya Temeke , kwa kile kilichoelezwa uzembe wa wauguzi wa hospitali hiyo...
    (23 December 2008)
Views: 629 | Maoni (16) | Soma Zaidi

 

Kashfa nyingine nzito BOT

uwazi  
Kashfa nyingine nzito BOT
Na Mwandishi wetu

Wakati orodha ya washukiwa wa ufisadi kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), ikiwa imefikia 20, hata hivyo, inaweza kuongezeka kufuatia kuibuka kwa kashfa nyingine ndani ya Benki Kuu (BoT) ambapo mamilioni ya fedha yanasemekana kutafunwa...
    (23 December 2008)
Views: 557 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

Wanawake hatarini

uwazi  
Wanawake hatarini
Joseph Ngilisho na Abraham Makinda

Wanawake nchini wako kwenye hatari ya kupata magonjwa mbalimbali yasababishwayo na vipodozi vyenye viambata vya sumu kufuatia tabia ya baadhi ya wafanyabiashara wa maduka ya vipodozi kusambaza vipodozi hivyo kiholela, imeripotiwa....
    (23 December 2008)
Views: 663 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

ALBINO ADHULUMIWA MASHAMBA BAADA YA KUFIWA NA WAZAZI WAKE

uwazi  
ALBINO ADHULUMIWA MASHAMBA BAADA YA KUFIWA NA WAZAZI WAKE
Na Jumbe Ismailly, Iramba

Mkazi mmoja wa Kijiji cha Mugungia,wilayani Iramba,Mkoani Singida mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) Rehema Rashidi ameiomba serikali mkoani hapa kuangalia uwezekano wowote wa kumsaidia kurejeshewa mashamba yake yaliyokuwa yameachwa na marehemu wazazi wake, ambayo yameuzwa hivi karibuni kinyemela na baba yake mdogo.
    (18 December 2008)
Views: 180 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

KANISA LA VIBOKO LAANZISHWA NCHINI

uwazi  
KANISA LA VIBOKO LAANZISHWA NCHINI
Na Joseph Ngilisho, Arusha

Kanisa la viboko limeanzishwa maeneo ya Sekei,Mkoani Arusha ambapo waumini wake hulazimika kucharazwa fimbo kabla ya kuingia kanisani na kama sehemu ya kuwaondolea mapepo...
    (16 December 2008)
Views: 813 | Maoni (15) | Soma Zaidi

 

MGONJA ALALA LUPANGO

uwazi  
MGONJA ALALA LUPANGO
Christopher Lissa na Richard Bukos

Hatimaye aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja Jana (Jumatatu) naye ameenda lupango kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuiingiza serikali hasara ya zaidi ya shilingi Bilioni 11 na hivyo kuzua hofu kwa vigogo zaidi serikalini...
    (16 December 2008)
Views: 281 | Maoni (5) | Soma Zaidi

 

MTOTO ALIYEISHI NA NYANI POLINI: Sasa kutunzwa na Mama Lwakatare

uwazi  
MTOTO ALIYEISHI NA NYANI POLINI: Sasa kutunzwa na Mama Lwakatare
Makongoro Oging’ na Abraham Makinda

Hatimaye, upepo mzuri umempuliza mtoto Baraka Bahati Rose (11), aliyelelewa na nyani katika pori la Usangu, wilayani Bukombe, Mkoani Shinyanga kwa zaidi ya miaka 5, baada ya kuwepo kwa uwezekano wa mtoto huyo kuchukuliwa na kituo cha kulelea Watoto yatima kinachomilikiwa na Mchungaji Getrude Lwakatare...
    (16 December 2008)
Views: 397 | Maoni (3) | Soma Zaidi

 

NI DHORUBA

uwazi  
NI DHORUBA
Na Mwandishi Wetu

Sasa ni dhahiri Serikali ya awamu ya nne inakabiliwa na dhoruba kubwa na Rais Jakaya Kikwete itabidi achukue maamuzi mazito ili kuhakikisha analifikisha Taifa kwenye kile kinachoitwa Demokrasia ya Kweli inayoheshimu Utawala wa Sheria na maadili ya Umma na zaidi kurejesha imani ya wapiga kura kwa serikali yake...

    (9 December 2008)
Views: 388 | Maoni (0) | Soma Zaidi

 

Mtoto azaliwa na miguu minne

uwazi  
Mtoto azaliwa na miguu minne
Na Elvan Stambuli

Mtoto mwenye umbile la ajabu la miguu minne amezaliwa katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema iliyopo Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza...
    (9 December 2008)
Views: 635 | Maoni (13) | Soma Zaidi

 

Mtoto aliyeishi na nyani porini

uwazi  
Mtoto aliyeishi na nyani porini
Makongoro Oging’ na Abraham Makinda

Mtoto Baraka Bahati Rose (11) aliyeishi katika pori la Usangu wilayani Bukombe mkoa wa Shinyanga huku akilelewa na nyani kwa zaidi ya miaka 5, ameathiriwa na maziwa aliyokuwa akinyonya kutoka kwa mnyama huyo....
    (9 December 2008)
Views: 684 | Maoni (4) | Soma Zaidi

 

JK ATUMIWA UJUMBE MZITO

uwazi  
JK ATUMIWA UJUMBE MZITO
Na Makongo Oging
Hali ya kisiasa imebadilika ghafla na kufikia hatua ya baadhi ya wanasiasa, viongozi wa dini na wananhi mbali mbali kuamua kumtumia ujumbe mzito Rais Jakaya Kikwete siku chache baada ya vigogo kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi...



    (2 December 2008)
Views: 2775 | Maoni (26) | Soma Zaidi
Back  <<  1 2 3 ... 14 15 16  >>  Next Page
 

Kura Yako / Poll

Habari Katika Picha


Gazeti la Uwazi


Nani Yupo / Alikuwepo


Home Page | About Us | Regista | Picha | Bongo Celebrities | Maoni | Contact Us

hit counter

 

2008 © globalpublisherstz.com